Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Wapenda Michezo wote TUACHE Ushabiki Tuzungumze Ukweli juu ya Matokeo ya Michezo miwili iliyochezwa jana na Vilabu Vyetu Vikubwa kabisa Nchini SIMBA na YANGA.
YANGA ilicheza na RIVERS ya NIGERIA huko Nigeria na Matokeo ni YANGA kufungwa jumla ya GOLI 2-0.
Na SIMBA alicheza na TP MAZEMBE ya CONGO na Kufungwa Bao 1-0.
Kwa Kifupi Timu zote Zimefungwa.
SWALI
Je Kwa MATOKEO yale Je Timu gani IMEFAIDIKA Sana kwa KUFUNGWA kati ya SIMBA na YANGA?
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
YANGA ilicheza na RIVERS ya NIGERIA huko Nigeria na Matokeo ni YANGA kufungwa jumla ya GOLI 2-0.
Na SIMBA alicheza na TP MAZEMBE ya CONGO na Kufungwa Bao 1-0.
Kwa Kifupi Timu zote Zimefungwa.
SWALI
Je Kwa MATOKEO yale Je Timu gani IMEFAIDIKA Sana kwa KUFUNGWA kati ya SIMBA na YANGA?
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app