Haya mambo yanachekesha, yani nikiwa saloon huwa najikuta nacheka tu nikiona mdingi kalazwa kichwa kwenye manyonyo anafanyiwa sijui scrub.... inachekesha
Fanya ukuje chap
Mi sifanyi hayo, muone Madame BNifanyie basi na mimi
hope ukiwa malengo kila kitu kinawezekanaTatizo mtaji mkuu.
Nikipata mtaji mkubwa, naweza fungua tu.
Sema bado bado kwanza maana ndio naanza biashara kaka
Vyote mpendwa sijui sifanyi....Hufanyi au hujui kabisa mpendwa
Vp mtu akijitolea kwako labdaVyote mpendwa sijui sifanyi....
Haina tabu.
Sema ukihudumiwa na mimi, malipo yanaongezeka.
Hapana mi sitaki massageVp mtu akijitolea kwako labda
Basi kheriHapana mi sitaki massage
Aisee..!!Huku hachinjwi, bali anapata huduma zote pamoja na 'free wifi'.
Mlete asije kosa nafasi.
Oil massage/hot stone ni bei gani hapo madamHuku hachinjwi, bali anapata huduma zote pamoja na 'free wifi'.
Mlete asije kosa nafasi.
Dah kuna watu nilikuwa nawaamini sana humunkama huyu.... kumbe wauza pochi!!!!
Kwaio unalipa na kodi.Unaelewa maana ya kila angle mkuu?
Tunagusa nyanja zote kutegemea na huduma unayoihitaji mkuu.
Ndio maana kabla ya kupata huduma, mteja lazima aulizwe kama atahitaji msaada zaidi iwapo 'atazidiwa' na huduma aliyoichagua.
Ataiosha sana kwa cokeKuna uzi alianzisha wa kutafuta mwanaume kumbe na yeye ni walewale tu
Huku hachinjwi, bali anapata huduma zote pamoja na 'free wifi'.
Mlete asije kosa nafasi.