Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Fanya ukuje chapNaomba nipate nafasi walau japo kidogo nikufanyie body to body massage...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya ukuje chapNaomba nipate nafasi walau japo kidogo nikufanyie body to body massage...
Haya mambo nilikuwa nishayazoea kipindi napendwa [emoji4]Fanya ukuje chap
Nakujaaaa[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
HahaahaahaKulea wanaume ambao wake zao wakorofi siku za weekend.
Unajua wanaume wengi siku za Jumamosi na Jumapili hawaendi kazini hivo hushinda nyumbani.
Sasa katika hao kuna baadhi wake zako ni wakorofi na wana midomo sana wakishinda nao nyumbani.
sa sisi tunachofanya ni kushinda na mume wa mtu siku nzima na pia kupatiwa huduma mbalimbali sawia na zile za kwa mkewe.
Karibu.
😂😂😂 Ahsante bossUpo makini na kazi yako mama [emoji16]
Hahahahah[emoji23][emoji23][emoji23] Ahsante boss
Tatizo mtaji mkuu.Ndo maana nmekuambia hapo juu ufungue branch mikoa mingine
Haina tabu.Mimi nataka nihudumiwe na wewe mwenyewe MadameB
Hilo pia kuna baadhi nimeshawahi kuwafanyia.Hapana mie nataka unihudumie wewe tu ntakuja mwenyewe au kama utahofia basi tutapata wasaa wa huduma hio katika mazingira ya hotelini uje na vifaa tu!
Yule mlipa bill si bado yupo au ndo kaondoka na yake?Santeee ngoja nitafute mlipa bill [emoji28]
Usijali ntabook nikifika DomHilo pia kuna baadhi nimeshawahi kuwafanyia.
Si busara kuweka mifano, ila wapo ambao huja Dodoma na mimi huwahudumia kwa namna anayohitaji mteja.
Maisha yenyewe mafupi sana, kwanini tusifurahie hii nafasi moja ya kuishi tuliyopewa!!
Karibu sana Extrovert.
Fanya booking mapema
Sawa kaka.Usijali ntabook nikifika Dom
Mhhhh Madame B, haujibu kule PM. Why?Hilo pia kuna baadhi nimeshawahi kuwafanyia.
Si busara kuweka mifano, ila wapo ambao huja Dodoma na mimi huwahudumia kwa namna anayohitaji mteja.
Maisha yenyewe mafupi sana, kwanini tusifurahie hii nafasi moja ya kuishi tuliyopewa!!
Karibu sana Extrovert.
Fanya booking mapema
Mbona nimewajibu wote my dearMhhhh Madame B, haujibu kule PM. Why?
Ila hapa mjini hii ni common 🤣🤣🤣With Happy Ending hahaha