Nani kafanyiwa Massage na hawa wanawake wa kileo?

Nani kafanyiwa Massage na hawa wanawake wa kileo?

Naona uzi umekuwa wa mtu mwingine tena anaewasherehesha tu na kuwachota akili nanyi mnachoteka kibwege.
 
Kudadadeki , mtu akielewa huduma anaamua kumtorosha kabisa muhudum akamuhudumie nyumbani kabisa
Kummayee unafanya mchezo na nguvu ya utelezi nini

Watu wanatorosha
 
Kuna ile ambayo wewe unakuwa uchi halafu unalala kifudifudi, halafu Mlimbwende anaekufanyia masaji nae anakuwa uchi kisha anateleza kama samaki mgongoni kwako.

Jamani
Hahahaaa
 
Hakika hawa watu wanahitaji kubadilisha mafikirio, Yaani mijitu kama hii inakuwa inawaza mikosi tu badala ya kula Maisha. Maisha menyewe tu yamejaa mabalaa alfu unakuja unakataa ofa ya Kula Raha, Kama sio Upumbavu ni nini ?
Kumjua mtanzania asiye na hela ni simpo tu, wanajifanyaga washauri wa maisha linapoingia suala la starehe.
 
Back
Top Bottom