Nani kafunika, nani kachemka kwenye remix ya Bedroom

Looooh matusi dhahiri shahiri haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli ni remix mbovu
ukiachana na ukali wa wasanii waliomo mule ndani ni msanii mmoja tu alliyefanya vizuri
in short ngoma imekuwa mbovu pamoja na bagia dady kufanya vyema

😂😂 Dah
 
Wote wamechemka, aliyefunika ni mitusi tu peke yake! Katisha sana.
 
Hiu ngoma angeskika pia Mmarekani Uno Aka One wa Miujiza
 
Baghdad ndo kauwa ....

One love
 
Embu weka icho kibao nipate kukisikiliza na mimi

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…