Nani kafunika, nani kachemka kwenye remix ya Bedroom

Nani kafunika, nani kachemka kwenye remix ya Bedroom

"Kabla ya kumsugua akiona mua tu anadata

Style nyigi ni za mbwa ila milio ndo ya paka

Kabla ya kumpakata namla denda,
Leo gigy money kampa papa papa Wemba"


"Vile unaikalia kwa juu, kama unataka kutaga

Alafu unaibania kwa chini nikikaribia kumwaga

Mambo zigzaga si umezoea wazungu

Leo namwaga hadi wachaga"
Looooh matusi dhahiri shahiri haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi ngoma ilikuwa ni kali sana. Sema kuna vimakosa vidogo vidogo vimeifanya ngoma kuwa ya kawaida.
Mimi sio mtu wa Music sana, ila haya ni baadhi ya makosa yangu niliyoyabaini..

Kosa la kwanza, Harmonize amezingua kufanya chorus ile ilee. Angeibadiri kidogo nadhani ingekiwa poa zaidi.

Kosa la pili, Chorus kurudiwa rudiwa kila bda ya Verse. Hii imefanya ngoma kuwa ndefu pasipo sababu za msingi..

Kosa la3, ni kosa la producer. Bit haikutakiwa ichangamke vile. Ngoma za Hiphop zenye vichwa vingi huwa zinapendezea kama Bit ikiwa slow flani hivi. Skiliza Deuces Remix ile yenye Drake. Kanye. Fabolous. T. I Rick Rosay.. nk ama skiliza ile Remix ya Tell ya Friend ya Bishow The Weekend. Utapenda mwenyewe..

Mwisho..

Pongeza kwa Baghdad kwa kuwameza wote.
Jamaa angepata bit iliyo slow nadhani angewafunika hapa na Mbinguni na kurudi..
Wote wamechemka, aliyefunika ni mitusi tu peke yake! Katisha sana.
 
Hiu ngoma angeskika pia Mmarekani Uno Aka One wa Miujiza
 
Binafsi ngoma ilikuwa ni kali sana. Sema kuna vimakosa vidogo vidogo vimeifanya ngoma kuwa ya kawaida.
Mimi sio mtu wa Music sana, ila haya ni baadhi ya makosa yangu niliyoyabaini..

Kosa la kwanza, Harmonize amezingua kufanya chorus ile ilee. Angeibadiri kidogo nadhani ingekiwa poa zaidi.

Kosa la pili, Chorus kurudiwa rudiwa kila bda ya Verse. Hii imefanya ngoma kuwa ndefu pasipo sababu za msingi..

Kosa la3, ni kosa la producer. Bit haikutakiwa ichangamke vile. Ngoma za Hiphop zenye vichwa vingi huwa zinapendezea kama Bit ikiwa slow flani hivi. Skiliza Deuces Remix ile yenye Drake. Kanye. Fabolous. T. I Rick Rosay.. nk ama skiliza ile Remix ya Tell ya Friend ya Bishow The Weekend. Utapenda mwenyewe..

Mwisho..

Pongeza kwa Baghdad kwa kuwameza wote.
Jamaa angepata bit iliyo slow nadhani angewafunika hapa na Mbinguni na kurudi..
Baghdad ndo kauwa ....

One love
 
Binafsi ngoma ilikuwa ni kali sana. Sema kuna vimakosa vidogo vidogo vimeifanya ngoma kuwa ya kawaida.
Mimi sio mtu wa Music sana, ila haya ni baadhi ya makosa yangu niliyoyabaini..

Kosa la kwanza, Harmonize amezingua kufanya chorus ile ilee. Angeibadiri kidogo nadhani ingekiwa poa zaidi.

Kosa la pili, Chorus kurudiwa rudiwa kila bda ya Verse. Hii imefanya ngoma kuwa ndefu pasipo sababu za msingi..

Kosa la3, ni kosa la producer. Bit haikutakiwa ichangamke vile. Ngoma za Hiphop zenye vichwa vingi huwa zinapendezea kama Bit ikiwa slow flani hivi. Skiliza Deuces Remix ile yenye Drake. Kanye. Fabolous. T. I Rick Rosay.. nk ama skiliza ile Remix ya Tell ya Friend ya Bishow The Weekend. Utapenda mwenyewe..

Mwisho..

Pongeza kwa Baghdad kwa kuwameza wote.
Jamaa angepata bit iliyo slow nadhani angewafunika hapa na Mbinguni na kurudi..
Embu weka icho kibao nipate kukisikiliza na mimi

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Back
Top Bottom