PierreLiquid
JF-Expert Member
- Oct 16, 2019
- 596
- 2,298
"Kabla ya kumsugua akiona mua tu anadata
Style nyigi ni za mbwa ila milio ndo ya paka
Kabla ya kumpakata namla denda,
Leo gigy money kampa papa papa Wemba"
"Vile unaikalia kwa juu, kama unataka kutaga
Alafu unaibania kwa chini nikikaribia kumwaga
Mambo zigzaga si umezoea wazungu
Leo namwaga hadi wachaga"
poaNalifanyia kaz hapa.. maana natak uniimbie vers nzma ya bagdad
Sio kweliKwenye hiphop kinachombeba MC ni styles kuliko punch lines...Young Lunya kabadirika kama mara nane kwenye 12 bars magnificent
Mm nipo OP na wewe kwanza nyumbo ushasema ni remix huwezi kubadili chorus ukibadili sio remix tn ni new hit, pili biti ya nyimbo Ipo slow ila inabadilika the way mtu anavyorap ata hivyo kwa hip-hop ni bit flan lain sana wanaoimba hasa rap watanielewa, pia ilibidi kuwepo na kitu cha kutenga kati rap mmoja walioko ktk nyimbo so chorus imetumika kama bridge ya kujua sas anaeingia ni flan ambayo ata msikilizaji anapata tension ya kujua who is next.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo vijana wa dar mmepatiwa sana ulitumia mda gani kumeza mashairi?"Kabla ya kumsugua akiona mua tu anadata
Style nyigi ni za mbwa ila milio ndo ya paka
Kabla ya kumpakata namla denda,
Leo gigy money kampa papa papa Wemba"
"Vile unaikalia kwa juu, kama unataka kutaga
Alafu unaibania kwa chini nikikaribia kumwaga
Mambo zigzaga si umezoea wazungu
Leo namwaga hadi wachaga"
sio lazima usikilize nyimbo zote broSIKU HIZI NYIMBO ZIMEJAA MITUSI MPAKA UNAPATA MASHAKA NA UTIMAMU WA AKILI ZA ALIYEIMBA!
Ata sijawahi kuisikia waporo remixAliyefunika ni Baghdad, aliyeimba utumbo ni Moni
Harmonize amekosea kweli kwenye hii remix, ilitakiwa watu wapite kama kwenye ile wapoloo remix
Sent using Jamii Forums mobile app
kukonda kumemfanya ashindwe kuchana sio?Bagdad. Ila jamaa alipokua bonge alikua na flow hatari.
"Kabla ya kumsugua akiona mua tu anadata
Style nyigi ni za mbwa ila milio ndo ya paka
Kabla ya kumpakata namla denda,
Leo gigy money kampa papa papa Wemba"
"Vile unaikalia kwa juu, kama unataka kutaga
Alafu unaibania kwa chini nikikaribia kumwaga
Mambo zigzaga si umezoea wazungu
Leo namwaga hadi wachaga"
Ndiyo nandy chupiHuyo mafioso ndio mkwe mtarajiwa wa mzee Mfinanga, baba yake Nandy ?
sijawahi kumsikiliza kabisa uyo dogoLunya asipobadilika atachokwa mapema sana
One love
Hapo vijana wa dar mmepatiwa sana ulitumia mda gani kumeza mashairi?
Sent using Jamii Forums mobile app
nyimbo zake beat mojaIla huyu jamaa jina lake n kubwa kuliko uwezo wKe. Hivi amewai fanya hit ata moja kwel
Nay wa mitego kachemsha.
Sijui ilikuwaje konde kashiwa muweka hata young killer pale ๐ขIle verse ingefutwa kabisa..