Nani kaipa mamlaka Israel ya kuishambulia Syria?

Nani kaipa mamlaka Israel ya kuishambulia Syria?

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Kuna baadhi ya mambo yana shangaza dunia hii hasa hapo middle east.

Mfano mgogoro huu unao endelea Syria baada ya aliyekuwa Rais wa Syria Bashar al- Assad kupinduliwa na wanaoitwa waasi au magaidi wa HTS.

Jambo la kushangaza baada ya Assad kupinduliwa jeshi la Israel lilianzisha mara moja mashambulizi ya anga katika vituo mbalimbali vya kijeshi Syria pasipo kuwa na sababu yoyote.

Wanaoitwa waasi/magaidi hawaja husika kwa namna yoyote ile katika kuishambulia Israel bali katika kuundoa utawala wa Assad na kuweka utawala wao mpya hivyo huu ni mgogoro wa ndani kwa ndani Syria pasipo Israel kushambuliwa kwa hata na bomu wala risasi yoyote ila kinyume chake Israel yeye ndie ameishambulia kwa mabomu Syria toka kuangushwa utawala wa Assad.

Pamoja na hayo yote jeshi la Israel limejisogeza ndani zaidi katika eneo la Syria toka kupinduliwa kwa utawala wa Assad.

Haya mamlaka ya Israel kufanya yote haya pasipo hata kuchokozwa na utawala mpya kapata wapi na je, siku huu utawala mpya wa Syria ukianzisha mashambulizi dhidi ya Israel kwa lengo la kulipa kisasi ni nani atahesabika mwenye makosa?
 
Hata siku utawala wa Assad umeanguka rasmi Israel iliwatangazia wakaazi wa maeneo ya Syria jirani na Israel wasitoke majumbani mwao kwenda barabarani kushangilia kwa usalama wao!

Kwamba wabaki ndani tuuu hadi watakapoambiwa vinginevyo.
 
Hata siku utawala wa Assad umeanguka rasmi Israel iliwatangazia wakaazi wa maeneo ya Syria jirani na Israel wasitoke majumbani mwao kwenda barabarani kushangilia kwa usalama wao!!.
Kwamba wabaki ndani tuuu hadi watakapoambiwa vinginevyo.
Haya mamlaka ya kufanya yote hayo kwenye taifa lisilo lake kapatia wapi?
 
Kuna baadhi ya mambo yana shangaza dunia hii hasa hapo middle east.

Mfano mgogoro huu unao endelea Syria baada ya alikuwa Rais wa Syria Bashar al- Assad kupinduliwa na wanaoitwa waasi au magaidi wa HTS.

Jambo la kushangaza baada ya Assad kupinduliwa jeshi la Israel lilianzisha mara moja mashambulizi ya anga katika vituo mbalimbali vya kijeshi Syria pasipo kuwa na sababu yoyote.

Wanaoitwa waasi/magaidi hawaja husika kwa namna yoyote ile katika kuishambulia Israel bali katika kuundoa utawala wa Assad na kuweka utawala wao mpya hivyo huu ni mgogoro wa ndani kwa ndani Syria pasipo Israel kushambuliwa kwa hata na bomu wala risasi yoyote ila kinyume chake Israel yeye ndie ameishambulia kwa mabomu Syria toka kuangushwa utawala wa Assad.

Pamoja na hayo yote jeshi la Israel limejisogeza ndani zaidi katika eneo la Syria toka kupinduliwa kwa utawala wa Assad.

Haya mamlaka ya Israel kufanya yote haya pasipo hata kuchokozwa na utawala mpya kapata wapi na je, siku huu utawala mpya wa Syria ukianzisha mashambulizi dhidi ya Israel kwa mleongo wa kulipa kisasi ni nani atahesabika mwenye makosa ?
Kuna taarifa nyingi za kiintelijensia ambazo hatuzijui na hazijawekwa wazi ambazo zimepelekea hayo yanayotokea kuendelea kutokea.

Hivyo wewe unasikia propaganda tu za media lakini kuna siri nzito kwenye vita zote ulizowahi/unazosikia ambazo ndiyo hoja kuu ya kuwepo kwa vita husika.
 
Kuna taarifa nyingi za kiintelijensia ambazo hatuzijui na hazijawekwa wazi ambazo zimepelekea hayo yanayotokea kuendelea kutokea.

Hivyo wewe unasikia propaganda tu za media lakini kuna siri nzito kwenye vita zote ulizowahi/unazosikia ambazo ndiyo hoja kuu ya kuwepo kwa vita husika.
Kwa hiyo Kenya ikipata taarifa za kiitelejensia inayo haki ya kuja kushambulia Tanzania na kurusha mabomu sehemu mbalimbali ?

Na hizo taarifa za kiitelejensia zielezee hapa sote tuzisome
 
Kuna baadhi ya mambo yana shangaza dunia hii hasa hapo middle east.

Mfano mgogoro huu unao endelea Syria baada ya alikuwa Rais wa Syria Bashar al- Assad kupinduliwa na wanaoitwa waasi au magaidi wa HTS.

Jambo la kushangaza baada ya Assad kupinduliwa jeshi la Israel lilianzisha mara moja mashambulizi ya anga katika vituo mbalimbali vya kijeshi Syria pasipo kuwa na sababu yoyote.

Wanaoitwa waasi/magaidi hawaja husika kwa namna yoyote ile katika kuishambulia Israel bali katika kuundoa utawala wa Assad na kuweka utawala wao mpya hivyo huu ni mgogoro wa ndani kwa ndani Syria pasipo Israel kushambuliwa kwa hata na bomu wala risasi yoyote ila kinyume chake Israel yeye ndie ameishambulia kwa mabomu Syria toka kuangushwa utawala wa Assad.

Pamoja na hayo yote jeshi la Israel limejisogeza ndani zaidi katika eneo la Syria toka kupinduliwa kwa utawala wa Assad.

Haya mamlaka ya Israel kufanya yote haya pasipo hata kuchokozwa na utawala mpya kapata wapi na je, siku huu utawala mpya wa Syria ukianzisha mashambulizi dhidi ya Israel kwa mleongo wa kulipa kisasi ni nani atahesabika mwenye makosa ?
Unauliza nani wa kuipa Israeli mamlaka?Namlaka yenyewe inaanzaje kupewa mamlaka?
 
Kuna baadhi ya mambo yana shangaza dunia hii hasa hapo middle east.

Mfano mgogoro huu unao endelea Syria baada ya alikuwa Rais wa Syria Bashar al- Assad kupinduliwa na wanaoitwa waasi au magaidi wa HTS.

Jambo la kushangaza baada ya Assad kupinduliwa jeshi la Israel lilianzisha mara moja mashambulizi ya anga katika vituo mbalimbali vya kijeshi Syria pasipo kuwa na sababu yoyote.

Wanaoitwa waasi/magaidi hawaja husika kwa namna yoyote ile katika kuishambulia Israel bali katika kuundoa utawala wa Assad na kuweka utawala wao mpya hivyo huu ni mgogoro wa ndani kwa ndani Syria pasipo Israel kushambuliwa kwa hata na bomu wala risasi yoyote ila kinyume chake Israel yeye ndie ameishambulia kwa mabomu Syria toka kuangushwa utawala wa Assad.

Pamoja na hayo yote jeshi la Israel limejisogeza ndani zaidi katika eneo la Syria toka kupinduliwa kwa utawala wa Assad.

Haya mamlaka ya Israel kufanya yote haya pasipo hata kuchokozwa na utawala mpya kapata wapi na je, siku huu utawala mpya wa Syria ukianzisha mashambulizi dhidi ya Israel kwa mleongo wa kulipa kisasi ni nani atahesabika mwenye makosa ?

Haki iko mbinguni juu
 
Kuna taarifa nyingi za kiintelijensia ambazo hatuzijui na hazijawekwa wazi ambazo zimepelekea hayo yanayotokea kuendelea kutokea.

Hivyo wewe unasikia propaganda tu za media lakini kuna siri nzito kwenye vita zote ulizowahi/unazosikia ambazo ndiyo hoja kuu ya kuwepo kwa vita husika.
Mungu akubariki sana, umejibu ki hekima sana kila siku huwa nasema kwa Macho ya kawaida huwezi kuona wala kujia yaliyo nyuma ya hivi vita vya wakubwa humu Duniani. Kikubwa ni kuomba Mungu tu wakubwa waeleweane yaishe salama maana madhara yake huwa ni makubwa sana hasa kwetu tusio kuwa na uwezo zaidi ya kutegemea misaada toka kwa wakubwa.
 
Kuna baadhi ya mambo yana shangaza dunia hii hasa hapo middle east.

Mfano mgogoro huu unao endelea Syria baada ya alikuwa Rais wa Syria Bashar al- Assad kupinduliwa na wanaoitwa waasi au magaidi wa HTS.

Jambo la kushangaza baada ya Assad kupinduliwa jeshi la Israel lilianzisha mara moja mashambulizi ya anga katika vituo mbalimbali vya kijeshi Syria pasipo kuwa na sababu yoyote.

Wanaoitwa waasi/magaidi hawaja husika kwa namna yoyote ile katika kuishambulia Israel bali katika kuundoa utawala wa Assad na kuweka utawala wao mpya hivyo huu ni mgogoro wa ndani kwa ndani Syria pasipo Israel kushambuliwa kwa hata na bomu wala risasi yoyote ila kinyume chake Israel yeye ndie ameishambulia kwa mabomu Syria toka kuangushwa utawala wa Assad.

Pamoja na hayo yote jeshi la Israel limejisogeza ndani zaidi katika eneo la Syria toka kupinduliwa kwa utawala wa Assad.

Haya mamlaka ya Israel kufanya yote haya pasipo hata kuchokozwa na utawala mpya kapata wapi na je, siku huu utawala mpya wa Syria ukianzisha mashambulizi dhidi ya Israel kwa mleongo wa kulipa kisasi ni nani atahesabika mwenye makosa ?
Sisi Waislam tunaelewa kinacho kuja wacha Israel afike mpaa Damascus, na pia usisahau hata Firauni alikuwa ana kiburi kuliko huyo Shetanyahu. Mimi navyo ona ni tofouti na mkristo na myahudi. Syria itabaki kuwa makao makuu ya jeshi la kislamu. Israel siku zake zimekaribia kuwiva, wacha waendelee kuota na ile map yao Greater Israel 🤣
 
Kuna baadhi ya mambo yana shangaza dunia hii hasa hapo middle east.

Mfano mgogoro huu unao endelea Syria baada ya aliyekuwa Rais wa Syria Bashar al- Assad kupinduliwa na wanaoitwa waasi au magaidi wa HTS.

Jambo la kushangaza baada ya Assad kupinduliwa jeshi la Israel lilianzisha mara moja mashambulizi ya anga katika vituo mbalimbali vya kijeshi Syria pasipo kuwa na sababu yoyote.

Wanaoitwa waasi/magaidi hawaja husika kwa namna yoyote ile katika kuishambulia Israel bali katika kuundoa utawala wa Assad na kuweka utawala wao mpya hivyo huu ni mgogoro wa ndani kwa ndani Syria pasipo Israel kushambuliwa kwa hata na bomu wala risasi yoyote ila kinyume chake Israel yeye ndie ameishambulia kwa mabomu Syria toka kuangushwa utawala wa Assad.

Pamoja na hayo yote jeshi la Israel limejisogeza ndani zaidi katika eneo la Syria toka kupinduliwa kwa utawala wa Assad.

Haya mamlaka ya Israel kufanya yote haya pasipo hata kuchokozwa na utawala mpya kapata wapi na je, siku huu utawala mpya wa Syria ukianzisha mashambulizi dhidi ya Israel kwa lengo la kulipa kisasi ni nani atahesabika mwenye makosa ?
Ni katika kujilinda na magaidi kwa kuharibu silaha walizoacha wanajeshi wa Bashar Al Asad waliosambaratika na kutokomea kusikojulikana 🐒
 
Hautaki tu kuelewa kwa sababu haupendi kuelewa.Israeli ndiyo mamlaka.Kama unabisha muulize Webabu,Faizafoxy,Ritz na wengineo halafu uje kuniambia wamesemaje.
Unaleta utoto sasa.

Unanifikirusha juu ya akili zako na hii platform aina fulani ya watu waliomo
 
Israel haijaanza kushambulia Syria baada assad kupinduliwa ni kabla kitambo huko na haijawahi kuhitaji ruhusa ya mtu yoyote kushambulia, mashambulizi ya sasa hivi wameyatolea sababu kwa nini yanafanyika
Sababu ni nini ? Na hayo mamlaka kapatia wapi ?
 
Back
Top Bottom