Nani kaipa mamlaka Israel ya kuishambulia Syria?

Nani kaipa mamlaka Israel ya kuishambulia Syria?

Mungu akubariki sana, umejibu ki hekima sana kila siku huwa nasema kwa Macho ya kawaida huwezi kuona wala kujia yaliyo nyuma ya hivi vita vya wakubwa humu Duniani. Kikubwa ni kuomba Mungu tu wakubwa waeleweane yaishe salama maana madhara yake huwa ni makubwa sana hasa kwetu tusio kuwa na uwezo zaidi ya kutegemea misaada toka kwa wakubwa.
Hizo taarifa za kiintelijensia ziweke wazi hapa ?

Na je siku Kenya ikipata taarifa za kiintelijensia itakuwa na mamlaka ya kuishambulia Tanzania na kuanza kuirushia mabomu hovyo hovyo ?
 
Sisi Waislam tunaelewa kinacho kuja wacha Israel afike mpaa Damascus, na pia usisahau hata Firauni alikuwa ana kiburi kuliko huyo Shetanyahu. Mimi navyo ona ni tofouti na mkristo na myahudi. Syria itabaki kuwa makao makuu ya jeshi la kislamu. Israel siku zake zimekaribia kuwiva, wacha waendelee kuota na ile map yao Greater Israel 🤣
Nini sasa kinachokufurahisha ?
 
Kwa mwenye nguvu,
ni kuimarisha ulinzi kwenye mipaka yako,

Lakini kujilinda zaidi ni pamoja na kwenda kumdismantal adui yako alie na akili fyatu kule kule aliko 🐒
Nani adui yao ?

Unamuitaje mtu adui yako ndio kwanza utawala mpya ? Haujarusha hata risasi moja katika mpaka wako ?
 
Achana na mambo ya kufikirika ya mbinguni tujikite katika huu uzi

Wamejipa hayo mamlaka. Na hakuna wa kumfanya lolote Israel.
Ameshaibomoa Hezbollah. Assad chali. Iran is the next target.
Myahudi kila upande. Mpaka unajua nani amempa mamlaka tayari umeenda huko chini mita sita.
Nasisitiza, haki anaitoa Mwenyezi Mungu peke yake. Kuna maswali mengine yanaulizwa na washing ubwabwa wakichanganya na matikitiki
 
Wamejipa hayo mamlaka. Na hakuna wa kumfanya lolote Israel.
Ameshaibomoa Hezbollah. Assad chali. Iran is the next target.
Myahudi kila upande. Mpaka unajua nani amempa mamlaka tayari umeenda huko chini mita sita.
Nasisitiza, haki anaitoa Mwenyezi Mungu peke yake. Kuna maswali mengine yanaulizwa na washing ubwabwa wakichanganya na matikitiki
Kuwa kama mtu mwenye akili.

Kama umeshindwa kujibu ni bora kukaa kimya sio kila nyuzi ni ya kushiriki.
 
Nani adui yao ?

Unamuitaje mtu adui yako ndio kwanza utawala mpya ? Haujarusha hata risasi moja katika mpaka wako ?
soma historia vizuri gentleman,

huyo unaesema ni mtawala mpya anaposema kwamba Mapinduzi kwa Bashar Al Asad, hayo hayataishia Damascus bali yataendelea hadi kuikomboa Jerusalem, huyo anaweza kua Best friend, right?🤣
 
soma historia vizuri gentleman,

huyo unaesema ni mtawala mpya anaposema kwamba Mapinduzi kwa Bashar Al Asad, hayo hayataishia Damascus bali yataendelea hadi kuikomboa Jerusalem, huyo anaweza kua Best friend, right?🤣
Sio lazima awe best friend wa Israel na pia sio lazima awe adui wa Israel.

Hakuna taifa linalo lazimisha taifa fulani liwe rafiki wake wa dhati.

Maswali yangu unayakwepa
 
Syria inafahamika wazi ilitumika kama breeding ground na Swetwan Iran kutengeneza silaha, kuandaa Magaidi ya Hezbollah na kupitisha Silaha kwenda Hezbollah kwa nia ya kuifuta Israel kwenye ramani ya Dunia.

Na Syria imekuwa ikishambuliwa toka Asadi yupo, haswa raslimali za Iran na Makamanda wa Iran ndani ya Syria.

Israel ana haki ya kujilinda na kituo kitakachofuata ni Iran. PERIOD
 
Syria inafahamika wazi ilitumika kama breeding ground na Swetwan Iran kutengeneza silaha, kuandaa Magaidi ya Hezbollah na kupitisha Silaha kwenda Hezbollah kwa nia ya kuifuta Israel kwenye ramani ya Dunia.

Na Syria imekuwa ikishambuliwa toka Asadi yupo, haswa raslimali za Iran na Makamanda wa Iran ndani ya Syria.

Israel ana haki ya kujilinda na kituo kitakachofuata ni Iran. PERIOD
Kama kujilinda kwa nini asiimarishe mipaka yake ?
 
Kuna baadhi ya mambo yana shangaza dunia hii hasa hapo middle east.

Mfano mgogoro huu unao endelea Syria baada ya aliyekuwa Rais wa Syria Bashar al- Assad kupinduliwa na wanaoitwa waasi au magaidi wa HTS.

Jambo la kushangaza baada ya Assad kupinduliwa jeshi la Israel lilianzisha mara moja mashambulizi ya anga katika vituo mbalimbali vya kijeshi Syria pasipo kuwa na sababu yoyote.

Wanaoitwa waasi/magaidi hawaja husika kwa namna yoyote ile katika kuishambulia Israel bali katika kuundoa utawala wa Assad na kuweka utawala wao mpya hivyo huu ni mgogoro wa ndani kwa ndani Syria pasipo Israel kushambuliwa kwa hata na bomu wala risasi yoyote ila kinyume chake Israel yeye ndie ameishambulia kwa mabomu Syria toka kuangushwa utawala wa Assad.

Pamoja na hayo yote jeshi la Israel limejisogeza ndani zaidi katika eneo la Syria toka kupinduliwa kwa utawala wa Assad.

Haya mamlaka ya Israel kufanya yote haya pasipo hata kuchokozwa na utawala mpya kapata wapi na je, siku huu utawala mpya wa Syria ukianzisha mashambulizi dhidi ya Israel kwa lengo la kulipa kisasi ni nani atahesabika mwenye makosa ?
Sasa hawa jamaa baba yao si ndiyo mwenye ulimwengu huu, acha tu wachezee vitu vya baba yao...
 
Mungu akubariki sana, umejibu ki hekima sana kila siku huwa nasema kwa Macho ya kawaida huwezi kuona wala kujia yaliyo nyuma ya hivi vita vya wakubwa humu Duniani. Kikubwa ni kuomba Mungu tu wakubwa waeleweane yaishe salama maana madhara yake huwa ni makubwa sana hasa kwetu tusio kuwa na uwezo zaidi ya kutegemea misaada toka kwa wakubwa.
Sure mkuu 🤝
 
Wewe ndo akili huna, unauliza kibali cha Israel kuishambulia Syria, kwani kibali cha Hamas kuishambulia Israeli ulitoa wewe?
Hamas waliishambulia Israel kwasababu ya mateso ambayo Israel inawafanyia Wapalestina ikiwa ni pamoja na kuyakalia kimabavu maeneo ya Wapalestina.

Sasa jibu hoja kwanini Israel anaishambulia Syria wakati Syria hajarusha hata risasi moja kuelekea Israel?

Weka sababu zilizo wazi na zenye mashiko kama ilivyo sababu za wazi na zenye mashiko za Hamas.
 
Kuna baadhi ya mambo yana shangaza dunia hii hasa hapo middle east.

Mfano mgogoro huu unao endelea Syria baada ya aliyekuwa Rais wa Syria Bashar al- Assad kupinduliwa na wanaoitwa waasi au magaidi wa HTS.

Jambo la kushangaza baada ya Assad kupinduliwa jeshi la Israel lilianzisha mara moja mashambulizi ya anga katika vituo mbalimbali vya kijeshi Syria pasipo kuwa na sababu yoyote.

Wanaoitwa waasi/magaidi hawaja husika kwa namna yoyote ile katika kuishambulia Israel bali katika kuundoa utawala wa Assad na kuweka utawala wao mpya hivyo huu ni mgogoro wa ndani kwa ndani Syria pasipo Israel kushambuliwa kwa hata na bomu wala risasi yoyote ila kinyume chake Israel yeye ndie ameishambulia kwa mabomu Syria toka kuangushwa utawala wa Assad.

Pamoja na hayo yote jeshi la Israel limejisogeza ndani zaidi katika eneo la Syria toka kupinduliwa kwa utawala wa Assad.

Haya mamlaka ya Israel kufanya yote haya pasipo hata kuchokozwa na utawala mpya kapata wapi na je, siku huu utawala mpya wa Syria ukianzisha mashambulizi dhidi ya Israel kwa lengo la kulipa kisasi ni nani atahesabika mwenye makosa ?
mamlaka ya kuilinda nchi na kushambulia magaidi ni ya inchi husika, haihitajiki ruksa yoyote
 
Mungu akubariki sana, umejibu ki hekima sana kila siku huwa nasema kwa Macho ya kawaida huwezi kuona wala kujia yaliyo nyuma ya hivi vita vya wakubwa humu Duniani. Kikubwa ni kuomba Mungu tu wakubwa waeleweane yaishe salama maana madhara yake huwa ni makubwa sana hasa kwetu tusio kuwa na uwezo zaidi ya kutegemea misaada toka kwa wakubwa.
Amina, tubarikiwe sote.
 
Back
Top Bottom