Nani kaishauri Simba kucheza usiku, waarabu aliwafunga mchana jua kali dar.. usiku kushinda ngumu

Naona mnawapamba sana vita club. Ila mjue vita ni bora ikiwa kwao ikiwa ugenini ni under dogtu. Mechi zote za ugenini imepoteza.
 
Hata mkicheza alfajiri.......Mikia mtaishia kushinda njaa tu
 
Uwe unafanya tafiti kwanza ndo unapost we jamaa.

Mechi za mwisho katika makundi sio caf tu ata uefa pia fifa world cup huwa zinachezwa muda mmoja kuepusha upangaji wa matokeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ratiba hapangi simba,game zote zinachezwa wakati mmoja ili kuepusha upangaji wa matokeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kasema?
 
Best of Luck to AS VITA CLUB


GO VITA GO

HATA MPANGE MECHI SAA NANE USIKU KICHAPO KWENU SIMBA KIPO PALEPALE


Sent using Jamii Forums mobile app from my iPhone 5s
Kiherehere kimekatwa.Mlikuwa mna mechi Iringa badala ya kutilia nguvu mechi yenu mnapiga chabo mechi za wengine. Haya sasa mke mkubwa kapigwa 2 wewe mke mdogo umefaidika nini?
 
Kiherehere kimekatwa.Mlikuwa mna mechi Iringa badala ya kutilia nguvu mechi yenu mnapiga chabo mechi za wengine. Haya sasa mke mkubwa kapigwa 2 wewe mke mdogo umefaidika nini?
TULIZA MSHONO DOGO, BADO LE TUPWISA MAZEMBE WANAKUJA...NA HAPO HAMNA CHA KUKUSANYA POINT
 
Vinuka mkojo tumewazoea. Mna mechi na Alliance isije ikajirudia ya Kamwene.
Ujinga ulioje una njaa na tabu kibao .Badala ya kuhangaikia matatizo yako umepanda geti kuchungilia jirani anafanya nini.
Mtabadilisha sana timu.
 
Next time fikiri kabla ya kupoteza muda kwa kuandika ujinga. Popoma. Pukachaka .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…