Nani kama Nyerere? hakika tutamkumbuka sana huyu mzee!

Nani kama Nyerere? hakika tutamkumbuka sana huyu mzee!

Mseriandy

Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
35
Reaction score
6
attachment.php

Alijenga viwanda katika kila mkoa hapa Tanzania

Mwatex
Mara Milk
KOIL Mwanza
Sunguratex
ZZK MBEYA
Machine tools Moshi

Arusha General Tyre
Kilitex
EMKO Soap
Maries Biscuits
Peremende

Ongezeeni vingine wadau

Alisomesha watanzania bure kuanzia chekechea mpaka Chuo kikuu

Alikataa Rushwa kwa vitendo

Heshima kwa watu wote

Huduma za afya bure

Leo nani atakuja hapa aseme ni rais yupi mwingine amejenga kiwanda?

Elimu ni ya kubahatisha na kubagua kati ya ST kayumba - wasio nacho na International kwa wenye nacho

Mikopo vyuo vikuuyenyewe haipatikani sembuse kutoa elimu bure

Leo ufisadi mchana kweupe (mfano mawaziri wetu na halmashauri)

leo wanachimba madini ila wachache wanafaida.

Kwa sasa naona hawa wakae pembeni kwanza. matumaini ya watanzania sasa yapo CHADEMA.

VIjana na wazee wote People's Poweer, M4C!!!!

Nyie magamba hamjaonewa, ila mmekumbatia walaji wachache, mmejichimbia kaburi wenyewe. mfano ni mfumuko wa bei hatari kabisa duniani, umasikini kuongezeka, ajira hakuna, ardhi kupewa wageni na wananchi kuwa manamba a.k.a watumwa.
 
Umeme wa kidatu,uwanja wa ndege KIA na DAR,meli MV bukoba,MV umoja na nyingine nyingi,atc Tazara
 
Kuogea Magwanji na kupiga mswaki na mkaa...na kufua nguo na magome ya miti.
 
Nyerere ni noma yaani hakuna tena tz hii cyo huyu wa sasa kama wanyoa viduku bwana
 
Kuogea Magwanji na kupiga mswaki na mkaa...na kufua nguo na magome ya miti.

Kikwete ni bora mno kuliko marais wote tz na hasa akisaidiwa na hii timu yake imara katika CC ya CCM


Wajumbe wa CC hawa hapa

1. Jakaya Kikwete
2. Pius Msekwa
3. Ali Mohamed Shein

(KUTOKA BARA)
3. Abdulrahman Kinana
4. Zakia Meghji
5. Dr. Abdallah Kigoda
6. Steven Wassira
7. Constancia Buhiye
8. William Lukuvi

(KUTOKA ZANZIBAR)
9. Dr. Hussein Mwinyi
10. Maua Daftari
11. Samia Suluhu Hassan
12. Shamsi Vuai Nahodha
13. Omar Yusuf Mzee
14. Prof. Makame Mbarawa
15. Mohamed Seif Khatib

(KUTOKA SEKRETARIAT)
16. Wilson Mkama
17. Capt. John Chiligati
18. Vuai Ali Vuai
19. January Makamba
20. Mwigulu Nchemba
21. Asha Abdallah Juma
22. Nape Nnauye
 
Moproco,bora,Tipper(kigamboni)MV mapinduzi,TCC,Konyagi(Tanzania distrilers)Tanzania breweries NBC,viwanda vya cement
 
Aliikuta fedha hazina akaziteketeza kwa kutaifisha mali za watu na kujenga viwanda kwa watu wasiojuwa hata kuvaa. Alifikiri anaelewa anachokifanya kumbe alikuwa na illusions.

Madaraka na John wako wapi?
 
attachment.php


Nashindwa kabisa kujua huyu Mwalimu alikuwa kiongozi wa aina gani? Mambo yake tofauti kabisa na wengine?
 

Attachments

  • nyerere.jpg
    nyerere.jpg
    53.8 KB · Views: 1,103
Acha uongo. Kumbuka wakati huo kulikuwa na Range Rover. Mbona hakuzitumia? Pili, soma kwenye mlango wa hilo gari. Kaenda mafya katumia gari la huko huko Mafya. Jamaa zenu hapa wakienda Mwanza lazima ma-BMW yatangulie!
Range Rover za wakati huo hazikuwa as comfortable as za siku hizi, hivyo bado hiyo 109 ilikuwa ni nzuri zaidi. Pia, kipindi hicho uchumi wetu haukuweza kumudu zaidi ya hapo, leo hii uchumi wetu ni mkubwa zaidi mara 100 zaidi ya ule enzi za Mwl. Hivyo, hatuwezi kuwa na uchumi uliokuwa halafu tukaishi kama vile uchumi umedumaa. Kama ingekuwa hivyo basi hata Obama angetumia corolla!
 
Range Rover za wakati huo hazikuwa as comfortable as za siku hizi, hivyo bado hiyo 109 ilikuwa ni nzuri zaidi. Pia, kipindi hicho uchumi wetu haukuweza kumudu zaidi ya hapo, leo hii uchumi wetu ni mkubwa zaidi mara 100 zaidi ya ule enzi za Mwl. Hivyo, hatuwezi kuwa na uchumi uliokuwa halafu tukaishi kama vile uchumi umedumaa. Kama ingekuwa hivyo basi hata Obama angetumia corolla!

Pengine kabla ya kuingia kwenye mjadala kati yangu na wewe, ni vema nikajua ulizaliwa lini? Inawezekana ulizaliwa baada ya kurejeshwa mfumo wa vyama vingi. Kama hivyo ndivyo, nitakuwa napoteza nguvu zangu bure. Je, unajua enzi hizo Range Rover hazirukuruhisiwa kuegeshwa benki?
 
View attachment 70468

Nashindwa kabisa kujua huyu Mwalimu alikuwa kiongozi wa aina gani? Mambo yake tofauti kabisa na wengine?

kwanza tuambie huo ulikua ni mwaka gani? halafu gari kali iliyokuwa ikivuma hapa nchini mwaka huo ni gari gani? baada ya hapo ndio tujadili hii habari picha
 
Back
Top Bottom