Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diga Diga unataka kumaanisha nini kwenye hoja yako hii? Ni kweli Range Rover iliwahi kuwa kwenye kiwango cha chini kuliko Land Rover 109? Kweli uchumi wetu umekuwa kwa asilimia 100 zaidi kuliko ulivyokuwa miaka ya Mwalimu, wewe unaona kukua huko kwa uchumi?Range Rover za wakati huo hazikuwa as comfortable as za siku hizi, hivyo bado hiyo 109 ilikuwa ni nzuri zaidi. Pia, kipindi hicho uchumi wetu haukuweza kumudu zaidi ya hapo, leo hii uchumi wetu ni mkubwa zaidi mara 100 zaidi ya ule enzi za Mwl. Hivyo, hatuwezi kuwa na uchumi uliokuwa halafu tukaishi kama vile uchumi umedumaa. Kama ingekuwa hivyo basi hata Obama angetumia corolla!
I am old enough to be called grandpa!Pengine kabla ya kuingia kwenye mjadala kati yangu na wewe, ni vema nikajua ulizaliwa lini? Inawezekana ulizaliwa baada ya kurejeshwa mfumo wa vyama vingi. Kama hivyo ndivyo, nitakuwa napoteza nguvu zangu bure. Je, unajua enzi hizo Range Rover hazirukuruhisiwa kuegeshwa benki?
Kwa hiyo hiyo 109 ilikuwa comfortable kuliko Range rover za wakati huo? Ni kweli kabisa uchumi wetu umekua sana, ndiyo maana hata Mkapa akaamua kuachana na lile Fokker la enzi za mwalimu na kuchukua kitu Gulf Stream linaloogopa vumbi la viwanja vyetu.Range Rover za wakati huo hazikuwa as comfortable as za siku hizi, hivyo bado hiyo 109 ilikuwa ni nzuri zaidi. Pia, kipindi hicho uchumi wetu haukuweza kumudu zaidi ya hapo, leo hii uchumi wetu ni mkubwa zaidi mara 100 zaidi ya ule enzi za Mwl. Hivyo, hatuwezi kuwa na uchumi uliokuwa halafu tukaishi kama vile uchumi umedumaa. Kama ingekuwa hivyo basi hata Obama angetumia corolla!
I am old enough to be called grandpa!
Range Rover za wakati huo hazikuwa as comfortable as za siku hizi, hivyo bado hiyo 109 ilikuwa ni nzuri zaidi. Pia, kipindi hicho uchumi wetu haukuweza kumudu zaidi ya hapo, leo hii uchumi wetu ni mkubwa zaidi mara 100 zaidi ya ule enzi za Mwl. Hivyo, hatuwezi kuwa na uchumi uliokuwa halafu tukaishi kama vile uchumi umedumaa. Kama ingekuwa hivyo basi hata Obama angetumia corolla!
Kwahiyo wewe unataka kusema uchumi wetu kwa leo bado uko vile vile sawa na enzi za Mwl? Huwezi kuona kirahisi tangible effects za uchumi kwa mtu mmoja mmoja kwani idadi ya wananchi nayo inaongezeka. Au napo bado tuko vile vile kama enzi za Mwl?Diga Diga unataka kumaanisha nini kwenye hoja yako hii? Ni kweli Range Rover iliwahi kuwa kwenye kiwango cha chini kuliko Land Rover 109? Kweli uchumi wetu umekuwa kwa asilimia 100 zaidi kuliko ulivyokuwa miaka ya Mwalimu, wewe unaona kukua huko kwa uchumi?
And probably you might be among them. Goodbye!Kuwa Grandpa haimaanishi kuwa enzi za ujana wako ulikuwa na akili za kutosha. Kuna mibabu kibao haina kumbukumbu za yaliyopita!!
ACHA UWONGO, kuanzia lini Range ikazidiwa na 109 kwa confortability?Range Rover za wakati huo hazikuwa as comfortable as za siku hizi, hivyo bado hiyo 109 ilikuwa ni nzuri zaidi. Pia, kipindi hicho uchumi wetu haukuweza kumudu zaidi ya hapo, leo hii uchumi wetu ni mkubwa zaidi mara 100 zaidi ya ule enzi za Mwl. Hivyo, hatuwezi kuwa na uchumi uliokuwa halafu tukaishi kama vile uchumi umedumaa. Kama ingekuwa hivyo basi hata Obama angetumia corolla!
Long Walk to FreedomNELSON MANDELA:-
We arrived in Dar es Salaam the next day and I met with Julius Nyerere, the newly independent countrys first president. We talked at his house,
which was not at all grand, and I recall that he drove himself in a simple car, a little Austin. This impressed me, for it suggested that he was a man of
the people. Class, Nyerere always insisted, was alien to Africa; socialism indigenous
Range Rover za wakati huo hazikuwa as comfortable as za siku hizi, hivyo bado hiyo 109 ilikuwa ni nzuri zaidi. Pia, kipindi hicho uchumi wetu haukuweza kumudu zaidi ya hapo, leo hii uchumi wetu ni mkubwa zaidi mara 100 zaidi ya ule enzi za Mwl. Hivyo, hatuwezi kuwa na uchumi uliokuwa halafu tukaishi kama vile uchumi umedumaa. Kama ingekuwa hivyo basi hata Obama angetumia corolla!
Ukuaji wa uchumi kwako unamaanisha nini? Haya maghorofa yaliyotapakaa ambayo watu wa Manzese kwa Mfuga Mbwa hawawezi kuyatumia wala hayaongezi mlo au ubora wa mlo wenyewe kwao!! Njoo huku useme kwamba uchumi umekuwa kuliko enzi za Mwalimu uone vita yake!!Kwahiyo wewe unataka kusema uchumi wetu kwa leo bado uko vile vile sawa na enzi za Mwl? Huwezi kuona kirahisi tangible effects za uchumi kwa mtu mmoja mmoja kwani idadi ya wananchi nayo inaongezeka. Au napo bado tuko vile vile kama enzi za Mwl?
Watanzania bana,
Kumbuka kuwa Dunia inabadilika kwa maana kuwa hata maisha pia yanabadilika. Harafu kumbuka kipindi hicho, hakukuwepo na uhuru wa habari na tekinologia ya juu kama sasa.
Hujui kama kuna benzi la bei mbaya ambalo Mwalimu Nyerere alikuwa akilitumia pale ikulu?
Siasa na maisha ya Mwalimu Nyerere vilijengwa kwa propoganda ya hali ya juu ndiyo maana hata photo ziko very selective, wakati viongozi wetu kwa sasa siasa na maisha yao yanawekwa wazi katika jamii kwa kila mwananchi kujionea na kuchagua kwa maamuzi yasiyo na shinikizo la propaganda wala mawazo kandamizi.
He was good but not that good the way some people try to portlay him. Hata hivyo siasa zake ziligonga mwamba na akaamua kuchanja mbuga.