Nani kama Sky Eclat?

Hasira kwa jiwe ni lazima ziendelee kwani ni janga kubwa la Taifa. Yuko kama mashangazi Maria Sarungi na Fatma Karume kwa hasira walizonazo kwa jiwe on top of that Sky Eclat is beautiful too.
Ingependeza zaidi kama angekuja kujibu mwenyewe. Mi nitawakutanisha na Jiwe ili wamalize tofauti zao kwa njia za amani [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hii ya kujibu mwenyewe hapa jamvini imeanza lini? Sidhani kama ana hata sekunde ya kupoteza ili kukutana na jiwe na tofauti za SE kwa jiwe si zake pekee yake bali mamilioni ya Watanzania.
😜😜😜😜
Ingependeza zaidi kama angekuja kujibu mwenyewe. Mi nitawakutanisha na Jiwe ili wamalize tofauti zao kwa njia za amani [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hii ya kujibu mwenyewe hapa jamvini imeanza lini? Sidhani kama ana hata sekunde ya kupoteza ili kukutana na jiwe na tofauti za SE kwa jiwe si zake pekee yake bali mamilioni ya Watanzania.
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Duh! Nilikuwa namtania tu Sky. Nadhani amejua kuwa ni utani tu ndo maana hajahangaika hata kujibu. Take it easy bro !!!
 
Nipo nae hapa, kasema akutumie MPesa yake ukamilishe kamuamala kidogo au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…