Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingependeza zaidi kama angekuja kujibu mwenyewe. Mi nitawakutanisha na Jiwe ili wamalize tofauti zao kwa njia za amani [emoji16][emoji16][emoji16]Hasira kwa jiwe ni lazima ziendelee kwani ni janga kubwa la Taifa. Yuko kama mashangazi Maria Sarungi na Fatma Karume kwa hasira walizonazo kwa jiwe on top of that Sky Eclat is beautiful too.
Naomba nikamsalimie kule "piem" cha mtu kinaliwa na mtuNapenda kukufahamisha kuwa Sky Eclat ni mke wangu halali wa ndoa....
Leo nimekusamehe, lakini siku nyingine uwe unaomba kibali cha kumwanzishia thread...
Kibali hicho nakitoa mimi mwenyewe orijinale...
View attachment 1720312
Au mdogo wake mahabani Kasie Matata
View attachment 1720313
Ingependeza zaidi kama angekuja kujibu mwenyewe. Mi nitawakutanisha na Jiwe ili wamalize tofauti zao kwa njia za amani [emoji16][emoji16][emoji16]
Nilitaka Kushangaa kaka chura usiulize hili swaliAna chura?
😄😄😄😄we jamaa unauhakika gani sasa..kama alisema hivyo ili kuepusha usumbufu..je!!!Mi nampenda kimapenzi,lakini baada ya kumsikia anasema umri wake anaweza kumzaa Bashite huku kasimama nikaanza kumpenda kama mama.
Ha ha haaaaa.Nilitaka Kushangaa kaka chura usiulize hili swali
You deserve it dadaView attachment 1720299
Umenivalisha viatu vikubwa sana
Hahahaha...kaka frog ni kisanga😀😀Ha ha haaaaa.
Kaka frog
Duh! Nilikuwa namtania tu Sky. Nadhani amejua kuwa ni utani tu ndo maana hajahangaika hata kujibu. Take it easy bro !!!Hii ya kujibu mwenyewe hapa jamvini imeanza lini? Sidhani kama ana hata sekunde ya kupoteza ili kukutana na jiwe na tofauti za SE kwa jiwe si zake pekee yake bali mamilioni ya Watanzania.
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Duh! Nilikuwa namtania tu Sky. Nadhani amejua kuwa ni utani tu ndo maana hajahangaika hata kujibu. Take it easy bro !!!
View attachment 1720360
Basi siyo bahati yangu.😄😄😄😄we jamaa unauhakika gani sasa..kama alisema hivyo ili kuepusha usumbufu..je!!!
Napenda kukufahamisha kuwa Sky Eclat ni mke wangu halali wa ndoa....
Leo nimekusamehe, lakini siku nyingine uwe unaomba kibali cha kumwanzishia thread...
Kibali hicho nakitoa mimi mwenyewe orijinale...
View attachment 1720312
Au mdogo wake mahabani Kasie Matata
View attachment 1720313
Napenda kukufahamisha kuwa Sky Eclat ni mke wangu halali wa ndoa....
Leo nimekusamehe, lakini siku nyingine uwe unaomba kibali cha kumwanzishia thread...
Kibali hicho nakitoa mimi mwenyewe orijinale...
View attachment 1720312
Au mdogo wake mahabani Kasie Matata
View attachment 1720313
Awwwwww soo sweet !View attachment 1720299
Umenivalisha viatu vikubwa sana
Acha biti maandazi. Mume halali hajisemi na hajioneshi aonekane broo umechemka brooo hahaaha,Napenda kukufahamisha kuwa Sky Eclat ni mke wangu halali wa ndoa....
Leo nimekusamehe, lakini siku nyingine uwe unaomba kibali cha kumwanzishia thread...
Kibali hicho nakitoa mimi mwenyewe orijinale...
View attachment 1720312
Au mdogo wake mahabani Kasie Matata
View attachment 1720313
Napenda kukufahamisha kuwa Sky Eclat ni mke wangu halali wa ndoa....
Leo nimekusamehe, lakini siku nyingine uwe unaomba kibali cha kumwanzishia thread...
Kibali hicho nakitoa mimi mwenyewe orijinale...
View attachment 1720312
Au mdogo wake mahabani Kasie Matata
View attachment 1720313
Hii vita tayari.Acha kumshobokea mke wangu