Nani kama Sugu?

Ni Mange kimambi huyo kama shetani vile.

khaa kumbe ndi Mange huyu
du hata mkononi hakajai
maana ka,e,waga matusi na mitusi hasa kwenye Unstragam na Blog yake ya U-turn kuhusu Sugu na Faiza
bora hizi Mada za Sugu wazifunge maana tunaweza kula Ban tukiwaletea vituko alivyoviweka vya Faiza na sugu humu
 

Honestly siwezi kumuimagine bila ayo mamek up..sura mbayaaa loo
 
huyu mal...aya japokua yupo ulaya lakini lazima atakua mchawi haki ya Mungu yani ana roho ya kishetani ya ushari shari tu hapendi amani kabisa maaamaae zake!

Akisema vote for d, anakuwa malikia, akisema otherwise anakuwa ma.la..., to me she is always a stupid as...!
 
Le mutuz kafanyaje tena

Kamtukana sana Sugu leo kwa ajili ya issue yake na Faiza. Baadae akajistukia akaanza kuomba msamaha wa kidizain huku linajshtukia.

Mtu aliyeshindwa maisha ya ulaya akaja kushindwa na hapa bongo anaonekana kituko tu mbele ya watu kama Sugu wenye records na legacy katika jamii.

Le mutuz wakati unaangaika kubishana na kutukanana na kina dogimasta na matikibokoyao, mwenzako anaangaika na kero za wana Mbeya. Jipange mzee!
 

Hana mvuto kabisa
 
Sugu alikuwa vizuri sana naamini kabisa siasa ina ua vipaji kabisa hata Jay anaweza kuacha mziki kabisa!

Sugu ni yule yule kipaji bado kipo sema kachagua upande wa siasa zaidi. Pia ata hivyo kila zama na vitabu vyake, Sugu alikuwa na wakati wake, akaja Nature na sasa hivi game ni ya Diamond.

Watakuja wengi, wataimba kila kitu ila hakuna atayeweza kupora heshima na legacy ya Sugu kwenye muziki wa kizazi kipya.

Kipindi Sugu anapigwa redioni mchana kwenye DJ Show, Diamond anatoka shule na kidumu mkononi na fagio la chelewa..... ama kweli siku hazigandi!

Leo dogo ndio wakati wake na Sugu yupo mjengoni anawakilisha wana Mbeya kwa viwango vile vile.
 

Huyu chizi aliyewehushwa na life hamwezi Sugu ata kidogo, nashangaa anasema Sugu eti kaogopa maneno yake ilihali hajaangaika ata kumsoma.

Sugu aliweka record clear sababu ya binti yake Sasha, Sugu ugonjwa wake sasa hivi ni Sasha anampenda sana mtoto wake. Faiza mwenyewe anajua kilichomgandisha Sugu pale ni mtoto coz Nigger alikuwa anataka sana mtoto alafu mademu walikuwa wanamzingua Faiza kukubali kuzaa ndio maana jamaa alijiweka kivile.

Awa kina Mange sijui watasema kipi kipya kuhusu Sugu ambacho jamii haujui, mtu kashindana na tahasisi yenye nguvu mpaka ikaomba suluhu itakuwa huyo cheche.
 
huyu mal...aya japokua yupo ulaya lakini lazima atakua mchawi haki ya Mungu yani ana roho ya kishetani ya ushari shari tu hapendi amani kabisa maaamaae zake!
Ana wivu hata shetani sio hivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…