Nani kamfadhili Mauzinde kwenda Canada?

Nani kamfadhili Mauzinde kwenda Canada?

Huyo shoga atapata hifadhi haraka sana, sababu ya msingi ni maisha yake yapo hatarini hapa tz.
Kuna wabongo wapo Canada wamepewa hifadhi baada ya kudai wao ni mashoga.
Vipi kama walidanganya ? 😂 Mzungu atathibitisha vipi kwamba huyu ni shoga kweli ? Maana nahisi wengine wamedanganya
 
Dah waliomkata masikio wamempa adhabu moja safi sana .... picha yake tafadhali akiwa hana masikio ... jamaa anakera sana
 
Nimeona clip yake akiwa kwenye ndege na 'vishikio' vyake. Ila bado sijapata uhakika kama ameomba hifadhi au anaenda kwa matembezi.

Kusema kwamba alikatwa masikio ili apate ufadhili sidhani, wapo waliopata hifadhi bila ya kutumia nguvu nyingi achilia mbali hiyo hatari ya kukatwa vipande vya masikio.
Amefadhiliwa na cocastic kwa kushirikiana na Lamomy bila kumsahau BICHWA KOMWE - . Jamaa kawa kama nyoka. Na miwani yaje hiyo myeusi aliyovaa. Aiseeeee
 
Huyo shoga atapata hifadhi haraka sana, sababu ya msingi ni maisha yake yapo hatarini hapa tz.
Kuna wabongo wapo Canada wamepewa hifadhi baada ya kudai wao ni mashoga.
Nyie mnachekeshaa sanaa!! Mbavu zinauma wallah.
 
Hivi kwa nini mwalimu Nyerere aliweka muungano na kile kisiwa cha mabwabwa 🤔
 
Back
Top Bottom