Nani kamuelewa Mwamakula? Kuna mada anasema kuna baadhi ya taarifa enzi ya JPM zilikuwa classified, asingeweza kuzitoa, alijuaje? Hebu avue kinyago

Nani kamuelewa Mwamakula? Kuna mada anasema kuna baadhi ya taarifa enzi ya JPM zilikuwa classified, asingeweza kuzitoa, alijuaje? Hebu avue kinyago

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Kuna uzi hapa umeandika mambo ya enzi ya JPM kwamba Mwamakula alikuwa anapata baadhi ya taarifa, na hata wakati mwingine alitumiwa mtu na JPM.

Hoja yangu imejikita pale aliposema baadhi ya taarifa zilikuwa classfied (za siri) asingeweza kuzitoa. Classified information zinalindwa na sheria ya usalama wa taifa, na ni wao tu ndio wanajua kipi kiko classified.

Mwamakula alijuaje hizo taarifa ziko classified? Nani alimwambia ziko classified? Je mwamakula na yeye ni kijitonyama kwa hiyo ana kiapo cha kutosema classified information? Ni kitengo ambaye ana jukumu la kuzuga uaskofu na upinzani dhidi ya serikali huku akiwachimba?

Je ni moja kati ya watu waliomuaminisha/Waliomchomesha Lissu hadi akaamua kupambana na wenzake kwa faida ya dola?

Mwamakula, could you please peel off the mask watu wakuone uhalisia wako?

N. B:
Nilishaomba clip ya Mwamakula akiwa kanisani, hakuna aliyefanikiwa kuileta hapa. Ila ana majoho ya kiaskofu
 
Kuna uzi hapa umeandika mambo ya enzi ya JPM kwamba Mwamakula alikuwa anapata baadhi ya taarifa, na hata wakati mwingine alitumiwa mtu na JPM.

Hoja yangu imejikita pale aliposema baadhi ya taarifa zilikuwa classfied (za siri) asingeweza kuzitoa. Classified information zinalindwa na sheria ya usalama wa taifa, na ni wao tu ndio wanajua kipi kiko classified.

Mwamakula alijuaje hizo taarifa ziko classified? Nani alimwambia ziko classified? Je mwamakula na yeye ni kijitonyama kwa hiyo ana kiapo cha kutosema classified information? Ni kitengo ambaye ana jukumu la kuzuga uaskofu na upinzani dhidi ya serikali huku akiwachimba?

Je ni moja kati ya watu waliomuaminisha " Waliomchomesha" Lissu hadi akaamua kupambana na wenzake kwa faida ya dola?

Mwamakula, could you please peel off the mask watu wakuone uhalisia wako?

N. B:
Nilishaomba clip ya Mwamakula akiwa kanisani, hakuna aliyefanikiwa kuileta hapa. Ila ana majoho ya kiaskofu
Kwani wewe unamjua kama ni Tiss au hapana?

Classified zisizo na maana si unazitoa tuu
 
Hiyo ya Askofu ni geresha tu maana kaeleza wazi alikuwa chini ya kiapo cha kiaskofu/padre kutunza siri za watubuji, lengo lako ni kutafuta upuuzi wa kuuhusisha na Lissu
 
Mwamakula ndo yule askofu anavaa kikofia kisogoni, kikofia kidogokidogo kama ganda la chungwa?
Ndioooo! Hahaha, ila hata ganda la chungwa linaweza kuwa kubwa, labda ganda la sungwi
 
Kuna uzi hapa umeandika mambo ya enzi ya JPM kwamba Mwamakula alikuwa anapata baadhi ya taarifa, na hata wakati mwingine alitumiwa mtu na JPM.

Hoja yangu imejikita pale aliposema baadhi ya taarifa zilikuwa classfied (za siri) asingeweza kuzitoa. Classified information zinalindwa na sheria ya usalama wa taifa, na ni wao tu ndio wanajua kipi kiko classified.

Mwamakula alijuaje hizo taarifa ziko classified? Nani alimwambia ziko classified? Je mwamakula na yeye ni kijitonyama kwa hiyo ana kiapo cha kutosema classified information? Ni kitengo ambaye ana jukumu la kuzuga uaskofu na upinzani dhidi ya serikali huku akiwachimba?

Je ni moja kati ya watu waliomuaminisha " Waliomchomesha" Lissu hadi akaamua kupambana na wenzake kwa faida ya dola?

Mwamakula, could you please peel off the mask watu wakuone uhalisia wako?

N. B:
Nilishaomba clip ya Mwamakula akiwa kanisani, hakuna aliyefanikiwa kuileta hapa. Ila ana majoho ya kiaskofu
Unataka akutajie classified? Never ma padre wana siri nzito sana na nyingi....watu hufunguka yaliyo mazito kwao....hata waliomwambia Kabendera ni wale wenye Mungu wao hawakupenda udhalimu ule......wataenda kutubu kanisani wasife kwa makosa kumfurahisha jiwe.....wengi walikatas kufanya atakayo akawatimua akiwemo.....mjomba Akakubali aende ubalozi Namibìa....kukiko mikono kujaa damu kila siku kisa ......hataki kupingwa
 
Wala haihitaji D3 kuwaelewa mch Mwamakula kama ilivyokuwa kwa Kipilimba hata kabla ya jiwe. Tunao wengi wa kaliba hiyo wanachunga kondoo na kushikilia ukuu wa vyama vya siasa na mashirika binafsi na umma.
 
Wala haihitaji D3 kuwaelewa mch Mwamakula kama ilivyokuwa kwa Kipilimba hata kabla ya jiwe. Tunao wengi wa kaliba hiyo wanachunga kondoo na kushikilia ukuu wa vyama vya siasa na mashirika binafsi na umma.
Kipindi cha kipilimba ndipo makanisa yalifumuka kwa wingi sana, nadhani yalitumika kama pazia la kuficha utambulisho wa wana kitengo, maana na yeye alikuwa mchungaji
 
Back
Top Bottom