Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saw Mkuu, it is bullshit indeed. Mbona nilisha admit tangu mwanzo kuwa we get bullish from our politicians?Sasa hapo kuna context gani ya ziada?
Kuna kipi cha zaidi hapo?
Unajuaje sina context wakati alivyokuja Marekani nilikuwepo kwenye kikao na nikaona alivyokuwa vague akichekacheka mwanzo mwisho?
Unataka kuniambia serikali hii ya CCM ikitaka uraia pacha wabunge watashindwa kupitisha sheria?
Are you really falling for this bullshit unayoita context?