Sasa hapo kuna context gani ya ziada?
Kuna kipi cha zaidi hapo?
Unajuaje sina context wakati alivyokuja Marekani nilikuwepo kwenye kikao na nikaona alivyokuwa vague akichekacheka mwanzo mwisho?
Unataka kuniambia serikali hii ya CCM ikitaka uraia pacha wabunge watashindwa kupitisha sheria?
Are you really falling for this bullshit unayoita context?