Nani kamziba mdomo Waziri wa Mambo ya Nje Mulamula, kulingana na kauli ya ahadi aliyotoa mwenyewe kuhusu uraia pacha?

CCM inaogopa wakiruhusu uraia pacha waliopoteza mali zao baada ya mapinduzi ya Zanzibar na waliopoteza mali zao baada ya Azimio la Arusha watarudi kuzidai au watadai fidia. Hela na michango ya diaspora kwenye uchumi wanaitaka lakini uraia pacha kamwe hawatokubali.
 
Saw Mkuu, it is bullshit indeed. Mbona nilisha admit tangu mwanzo kuwa we get bullish from our politicians?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…