Nani kapita hapa?

Miaka ya 2001 mkuu ila Gowele ni katibu wa waziri now kipindi ninasoma alikuwa mwalimu wa kiswahili
Kumbe huyu jamaa kaula, alikuwa jamaa tozi sana hahaaa
 
Mkuu na madevu ndo alikuwa lab technician wenu bila shaka hahaaa
 
Mkuu hiyo shelaton ina historia yake, kuna miaka palitokea mafuriko, mabwen ya wasichana yakasombwa ndo zikajengwa Mpya, ndo maana zilikuwa tofauti na za mkoloni hahaaaa
 
Hongereni wana Ndanda, siku hizi kusini kuchere. Ni masaa 5 tu DSM to Lindi then 40min to Ndanda. Karibuni sana.
 
Yumba Kaboboooo !!!
 
Hongereni wana Ndanda, siku hizi kusini kuchere. Ni masaa 5 tu DSM to Lindi then 40min to Ndanda. Karibuni sana.
Haa aaa aa
Unatembeaje kwa dk 40 toka Lindi hadi Ndanda?
 
Ndanda high school aisee nimepita hapo
 
Mademu zetu walikuwa masas girls Na mtwara girls
 
NDABO
Intake ya 2011-2013 (Nilihama )
Maji matamu sana ya ndanda.Hata maji ya bombani baridi matamu sana.
Juu kule kwenye bookshop ukipanda juu kuna sanamu ya wakatoliki

Kulikuwa na saa ya sa kumi na mbili inagonga very loud.Upande wa pili huku kanisa la wakatoliki linatazamana na shule,

Kulikuwa kuna nyoka sana story ilikuwa wakoloni walileta nyoka kumaliza issue ya panya.

Kulikuwa na mhindi flani ana duka la jumla mitaa ya madeko nadhani.Afu kuna branch ya NMB pale stand karibia na barabara ya kwenda shule,unapita hospital ndio unaenda shule.Mitaa tulivu sana,wa Benedicyino waliweza.

Nakumbuka kuna time hela ilizingua nikaenda kuuza flash yangu kule madeko (kulikuwa na kisehemu cha ku burn cd[emoji13])

Kuna kipindi pumbu erosion bweni la kule juu mlimani ilikuwa kipengele sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…