Peruree ruleee ndanda boys peru peru ndanda boys.
2006-2008 kilimanjaro-mawenzi room 21 tuliita horizon deep.
Tv room mv bukoba .
Lecture room ukumbi wa Manchester.
Head Master ..Mzee Mmoja ivi (mlemavu flani)
Makamu nadhani alikuwa Sowone.
Makota G (rip)
Halafu kuna Muhidin (Mjahidina)
Kulikuwa na kimadam flani ivi kilikuwa laboratory, achana na mama tesha.
Yumba Kabobo,alikuwa mtata balaa
Nimepita hapo 2009-2011 tulipokelewa na Lulukila (Master) Bweni nililofikia Shelaton, Room Wanyama ( The Animals)
ktk vitu ninavyovikumbuka shule nzima ilikuwa na wanafunzi 976 kombi 9 ila walimu 13, yaan kila mwalim akipewa darasa lake hawaenei maana Form5&6 jumla ilikuwa madarasa 18.
Sowani (master) ndo tulimuacha, naskia sasa marehemu, Maticha vituko kama, Mpemba, Mkandawile, kuna mmoja tulikuwa tumamwita Niaje,
Daah Ndanda kuna mengi saanaa sita pasahau pale!!!