Vyakula vilivyohesabika ni Najisi wakati wa Torati,(Walawi11:1-43)
Katika Agano Jipya vimetakaswa kwa Neno la Kristo.
Ndiyo maana Yesu anasema,
(Marko7:16-19)-Kimuungiacho mtu hakimtii Unajisi bali kimtokacho.Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.
Tena maandiko yanasema,
(Matendo10:11-16)-Alivyovitakasa Mungu usiviite Najisi.
(Warumi14:14)-Hakuna kilicho Najisi kwa asili.
Kinachotakiwa ni kushukuru kabla ya kula,(1Timo4:2-5)
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Katika Agano Jipya vimetakaswa kwa Neno la Kristo.
Ndiyo maana Yesu anasema,
(Marko7:16-19)-Kimuungiacho mtu hakimtii Unajisi bali kimtokacho.Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.
Tena maandiko yanasema,
(Matendo10:11-16)-Alivyovitakasa Mungu usiviite Najisi.
(Warumi14:14)-Hakuna kilicho Najisi kwa asili.
Kinachotakiwa ni kushukuru kabla ya kula,(1Timo4:2-5)
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app