Nani kasema Nguruwe halali? Sio Ukristo au Uislamu kote wamemkana.

Vyakula vilivyohesabika ni Najisi wakati wa Torati,(Walawi11:1-43)
Katika Agano Jipya vimetakaswa kwa Neno la Kristo.
Ndiyo maana Yesu anasema,
(Marko7:16-19)-Kimuungiacho mtu hakimtii Unajisi bali kimtokacho.Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.
Tena maandiko yanasema,
(Matendo10:11-16)-Alivyovitakasa Mungu usiviite Najisi.
(Warumi14:14)-Hakuna kilicho Najisi kwa asili.
Kinachotakiwa ni kushukuru kabla ya kula,(1Timo4:2-5)

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Tumbo halina dini. Shauri lenu wajumamosi.
 
Kasome Wakurya 6:6 :6 Inasema tule vinono ili tuwe na nguvu ya kumpiga adui na Mnyama anayefaa zaidi ni yule Nguruwe safi na Ugali au ndizi. Usiishie kusoma Waarabu na Wazungu tu Soma Waafrika 10 mstari wa saba Mvivu wa kufikiri na kuwinda atakula vilivyo dhaifu na visivyo na mafuta.
Mpuuzi fulani wewe. Mungu yupo Afrika kabla hajaja Mzungu wala Mwaarabu ndiyo maana neno Mungu walilikuta wakaweka kwenye vitabu vyao. Halafu kumbuka tu hizo Amri Walipewa Walawi na Waarabu wewe Mtu Mweusi huna dhambi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…