Angepanga moja ya Kikosi hiki yote haya yasingemkuta ila kwa sasa atuvumilie tu tumpe ' makavu ' yetu ' mubashara ' ili atujue Watanzania na akienda Kwao nchini Nigeria akawasimulie vizuri. Mpuuzi kabisa huyu Kocha na ndiyo maana sikumkubali tokea alipoteuliwa baada ya Kuziangalia vizuri ' CV ' zake hasa kwa Timu alizozifundisha katika nchi mbalimbali.
1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe / Salum Kimenya
3. Gadiel Michael
4. Erasto Nyoni
5. Kelvin Yondan
6. Jonas Mkude
7. Simon Msuva
8. Abubakary Salum / Faisal Salum
9. Thomas Ulimwengu / Shaaban Chilunda
10. John Boko
11. Shiza Kichuya
au
1. Aishi Manula
2. Ramadhan Kessy / Salum Kimenya
3. Abdi Banda / Gadiel Michael
4. Erasto Nyoni
5. Kelvin Yondan
6. Jonas Mkude
7. Simon Msuva
8. Faisal Salum / Abubakary Salum
9. Shaaban Chilunda / Thomas Ulimwengu
10. John Boko
11. Shiza Kichuya
Yaani kwa hasira / jazba nilizokuwa nazo nimeshindwa kabisa ' Kumbandua / Kumtunuku ' Utamu wa Kitandani Demu wangu tokea jana ile hadi sasa. Mkuyenge wangu nao ' umenuna ' kabisa kwa matokeo haya ya Kukera / Kuudhi kabisa.