charleslee
JF-Expert Member
- Aug 4, 2016
- 408
- 200
mkuu Hawa jamaa ni wasumbufu kupita Maelezo. Bora uende bank uweke fixed japo faida ni ndogo.Habari zenu wadau
kuna fununu za chinichini kuwa hawa jamaa wanasumbua pale mtu unapotaka kutoa pesa kutoka mfuko flani....wanadai baada ya siku kumi za kazi. Je ni wakweli? kuna yeyote aliyewahi kurequest pesa zake na kweli zikaja kwa akaunti ya bank?
Thanks
uliwahi kurequest na pesa ikafika kwenye akaunti yako japo walikusumbua?mkuu Hawa jamaa ni wasumbufu kupita Maelezo. Bora uende bank uweke fixed japo faida ni ndogo.
umewahi kutoa hela?Hawa jamaa hawaeleweki Mimi mwenyewe ni muhumini wao
Hawajibu lolote wako kimya tuuliwahi kurequest na pesa ikafika kwenye akaunti yako japo walikusumbua?
Ndio wanatoa baada ya siku kumi za kazi.Habari zenu wadau
kuna fununu za chinichini kuwa hawa jamaa wanasumbua pale mtu unapotaka kutoa pesa kutoka mfuko flani....wanadai baada ya siku kumi za kazi. Je ni wakweli? kuna yeyote aliyewahi kurequest pesa zake na kweli zikaja kwa akaunti ya bank?
Thanks
Siku 21 za kazi labda wawe wamebadilishaHabari zenu wadau
kuna fununu za chinichini kuwa hawa jamaa wanasumbua pale mtu unapotaka kutoa pesa kutoka mfuko flani....wanadai baada ya siku kumi za kazi. Je ni wakweli? kuna yeyote aliyewahi kurequest pesa zake na kweli zikaja kwa akaunti ya bank?
Thanks
Kuna watu wanaitwa NICO au nicol ndiyo wamepotea kabisa na pesa zetu nani ana habari zao???Siku 21 za kazi labda wawe wamebadilisha
Kwa nn uweke fixed wakati kuna Treasury bills na Treasury Bonds zenye faida kubwa kuliko hio ya fixed! Au uiwekeze hela yako kwenye ordinary shares!!mkuu Hawa jamaa ni wasumbufu kupita Maelezo. Bora uende bank uweke fixed japo faida ni ndogo.
lakin hujanijibu bossSiku 21 za kazi labda wawe wamebadilisha
UTT iliundwa kuua nguvu NICOL waliyoanza nayo wakati huo. Na walifanikiwa!!Kuna watu wanaitwa NICO au nicol ndiyo wamepotea kabisa na pesa zetu nani ana habari zao???
Thanks...nakuja pmInawezekana mkuu,,na kwa experience haichukui hata two weeks inakua tayari,,nimewahudumia wateja wengi waliokua na request kama yako,,kiurahisi unaenda any crdb branch unajaza forms,,wanakuekea hela kwenye account direcly,,
Ukitaka msaada zaidi pm me please
Nimekupata mkuuAisee usisikilize sana Maneno ya watu mtaani ambao hawaijui UTT, ukihitaji pesa yako toka utt ni simple sana huhitaji hata kusafiri kwenda huko Crdb kutafuta form ya kujaza, fomu zote zipo kwenye website yao just download jaza information wanazotaka watumie within 10working days kaangalie kwenye akaunti yako, kama hutaingiziwa rudi hapa Jf . nazungumza kama mteja na ambaye huwa natoa pesa utt