charleslee
JF-Expert Member
- Aug 4, 2016
- 408
- 200
Habari zenu wadau
kuna fununu za chinichini kuwa hawa jamaa wanasumbua pale mtu unapotaka kutoa pesa kutoka mfuko flani....wanadai baada ya siku kumi za kazi. Je ni wakweli? kuna yeyote aliyewahi kurequest pesa zake na kweli zikaja kwa akaunti ya bank?
Thanks
kuna fununu za chinichini kuwa hawa jamaa wanasumbua pale mtu unapotaka kutoa pesa kutoka mfuko flani....wanadai baada ya siku kumi za kazi. Je ni wakweli? kuna yeyote aliyewahi kurequest pesa zake na kweli zikaja kwa akaunti ya bank?
Thanks