Nani kawakimbiza wafanyabiashara wa nchi jirani kariakoo? TRA au wafanyabiashara wenyewe wa kariakoo kwa ulaghai?

Nani kawakimbiza wafanyabiashara wa nchi jirani kariakoo? TRA au wafanyabiashara wenyewe wa kariakoo kwa ulaghai?

Mkuu wewe ndio haujielewi kwa kuwatetea TRA, na kwamfano ulio utoa basi badala ya TRA kukamata mzigo wa mgeni walipaswa wamuwajibishe mfanya biashara kwa kutumia ushahidi wa mgeni.
Hata kwa mfano ulio utoa, bado TRA atakua ndie amewafukuza wafanya biashara wa nje, badala ya kuwaelimisha na kuwalinda.
Kumbuka mfanya biashara wa Kariakoo sio jukumu lake kumuelimisha mgeni, bali ni wajibu wa TRA na serikali kumuelimisha mgeni/mteja ili kumlinda.
Wote wezi tu, utashangaa ukiskia huyo mfanyabiashara aliyeandika risiti ya mil 200 kwa mzigo wa bilioni ndio anapiga tra tena ili wamkamate mfanyabiashara mgeni mzigo ananyanganywa badae unarudishwa hapo dukani.
Afisa Tra analamba chake
 
Tujiulize hivi ni kweli 18% ya VAT inalipika hilo ndo lakujiuliza serekali inalazimisha tu kuumiza wafanyabiashara
 
Mkuu wewe ndio haujielewi kwa kuwatetea TRA, na kwamfano ulio utoa basi badala ya TRA kukamata mzigo wa mgeni walipaswa wamuwajibishe mfanya biashara kwa kutumia ushahidi wa mgeni.
Hata kwa mfano ulio utoa, bado TRA atakua ndie amewafukuza wafanya biashara wa nje, badala ya kuwaelimisha na kuwalinda.
Kumbuka mfanya biashara wa Kariakoo sio jukumu lake kumuelimisha mgeni, bali ni wajibu wa TRA na serikali kumuelimisha mgeni/mteja ili kumlinda.
Sawasawa 👍
 
Mkuu wewe ndio haujielewi kwa kuwatetea TRA, na kwamfano ulio utoa basi badala ya TRA kukamata mzigo wa mgeni walipaswa wamuwajibishe mfanya biashara kwa kutumia ushahidi wa mgeni.

Hata kwa mfano ulio utoa, bado TRA atakua ndie amewafukuza wafanya biashara wa nje, badala ya kuwaelimisha na kuwalinda.

Kumbuka mfanya biashara wa Kariakoo sio jukumu lake kumuelimisha mgeni, bali ni wajibu wa TRA na serikali kumuelimisha mgeni/mteja ili kumlinda.
Nimekuelewa mkuu
 
Mkuu wewe ndio haujielewi kwa kuwatetea TRA, na kwamfano ulio utoa basi badala ya TRA kukamata mzigo wa mgeni walipaswa wamuwajibishe mfanya biashara kwa kutumia ushahidi wa mgeni.

Hata kwa mfano ulio utoa, bado TRA atakua ndie amewafukuza wafanya biashara wa nje, badala ya kuwaelimisha na kuwalinda.

Kumbuka mfanya biashara wa Kariakoo sio jukumu lake kumuelimisha mgeni, bali ni wajibu wa TRA na serikali kumuelimisha mgeni/mteja ili kumlinda.
Well said "Ushimen" mwandishi wa hii mada ni pimbi na hovyo hakika!
 
VAT anatakiwa alipe mnunuzi, kwanini huo mzigo anabebeshwa mfanya biashara?
 
Back
Top Bottom