Nadhani PSG ana moto nalo zaidi, kama atafika fainali atalitwa kufika fainali mara 2 mfululizo kisha asilibebe hesabu zangu zinakataa.. 32%
Man city sio wa kubezwa wana timu nzuri mnoo 30%
Madrid wao hili kombe ni kama wamelioa vile, japo sina uhakika kama anaweza kumfunga man city fainali, labda kidogo psg wakikutana fainali.. Shida psg hawana kiungo cha kushindana na madrid wala man city, wao wanategemea zaidi ubora wa strikers wao pale juu, na kidogo ulinzi, wakiomba dua golikipa wao Navas aamke vizuri awastili.. Na hili ni tatizo siku wakikutana na man city, watapata tabu saana
Madrid 28%
Chelsea asibezwe saana kwenye mpira lolote linaweza kutokea 10%