Nani kuivunja rekodi ya kiuchumi ya Hayati Rais John Pombe Magufuli?

Nani kuivunja rekodi ya kiuchumi ya Hayati Rais John Pombe Magufuli?

Hakuna Cha maana ulichoandika 😂😂

Kwa Sasa Tunazungumzia real term economy kutoka GDP ya $70bln Hadi GDP ya $80bln ndani ya miaka 3 tuu.

Mengine ni blaa blaa zisizo na msingi
Wote wamefanya vizuri hata kikwete ndani ya miaka mitatu Gdp ilitoka $17bln na kwenda $29bln
Magufuli nae ndani ya miaka mitatu Gdp ilitoka $47bln na kwenda $58bln

So maraisi wote wanafanya vizuri, no need ya kumbagaza yoyote
 
Andiko lote limejaa sifa kwa mwendazake, unaonekana ni mnazi wa mwendazake. Btw aliondoa sera ya ukweli na uwazi pia kuweka sheria za takwimu mpya ili mambo yake ayafanyie gizani kama kukuzia uchumi gizani na kupika takwimu ili aonekane shujaa lakini ni yeye aliyevuruga economic system ya nchi hii mpaka sasa tunahangaika kurestore na haya matatizo tunayoyaona sasa ni effects za uharibifu wake.
Magufuli hakupika takwimu kama world bank walipika nitakubaliana na wewe,yule alikuwa ntu ya kazi watanzania wanajua na dunia inajua hivyo
 
Wote wamefanya vizuri hata kikwete ndani ya miaka mitatu Gdp ilitoka $17bln na kwenda $29bln
Magufuli nae ndani ya miaka mitatu Gdp ilitoka $47bln na kwenda $58bln

So maraisi wote wanafanya vizuri, no need ya kumbagaza yoyote
Kikwete alifanya vzr kwenye sector gani or melemeta,richmond,dowansi, epa,escrow et na Samia kafanya vzr kwenye nin or dp world, kufukuza masai loliondo or mikopo ya ufisadi uliokithiri???ongea km mwanaume rijali wewe
 
Hakuna wa kuivunja rekodi ya magufuli.samia anazidi kuharibu tu Kila siku.kipindi cha magufuli tulifika uchumi wa kati lakini Kwa Sasa tumeporomoka na kuwa severe poorest country(below poverty line)
 
Kikwete alifanya vzr kwenye sector gani or melemeta,richmond,dowansi, epa,escrow et na Samia kafanya vzr kwenye nin or dp world, kufukuza masai loliondo or mikopo ya ufisadi uliokithiri???ongea km mwanaume rijali wewe
Sipo kwa ajili ya kuandika mabaya ya kikwete. Kafanya mazuri muda umeisha

Mm niliweka sawa records tu kwa kumjibu huyo kuwa hata kikwete na magufuli waliscore same number kwenye miaka mitatu ya kwanza
 
Hakuna wa kuivunja rekodi ya magufuli.samia anazidi kuharibu tu Kila siku.kipindi cha magufuli tulifika uchumi wa kati lakini Kwa Sasa tumeporomoka na kuwa severe poorest country(below poverty line)
Sukuma gang umeanza kuandika pumba!!
Uchumi upi wa kati jiwe alitupeleka??
Nchi ilifilisika kwa madeni. Wizi na uporaji? Utekaji na wizi wa kura
 
Sukuma gang umeanza kuandika pumba!!
Uchumi upi wa kati jiwe alitupeleka??
Nchi ilifilisika kwa madeni. Wizi na uporaji? Utekaji na wizi wa kura
Mwambie ukweli huyu pimbi hajielewi kabisa mwamba!
 
Back
Top Bottom