JK, MP wote walinzi wa Ufisadi hawafai, hakuna mchezaji mzuri atachezea timu ya CCM, kawaulize vijana wapinga FISADI kina NAPE wako wapi, peleka uwe DC ukanyamaze huko.
JK,MP Ombaomba- hata neti wameomba kwa Bush, neti zenyewe ni 2.2 X 3 mimi nafugia vifaranga wasiliwe na kunguru maana havitoshi kwenye vitanda vyangu, CCM ovyooooooooo heshima yao ilishakwisha enzi za JK halisi ni Nyerere peke yake naweza mpigia kura akifufuka! toba!
JK, MP wote wanalalamika badala ya kutoa maamuzi, watoto wanalalamika na wazazi pia Ovyo zaidi
Kimsingi fikra na THINK TANK ya CCM ilishakuwa outdated, ni masikini tu wasiojua ndo hukipigia kura kwa kuogopa wengine wameambiwa wataleta vita!
MWISHO WA MAFISADI WATASHITAKIWA TU, KAMUULIZE TAREQ AZIZ WA IRAQ mwaka 1982 alipiga Wakurdi kwa sumu na kuuwa vijiji hakutegemea watatawala wengine, leo amehukumiwa kunyongwa!
CCM na Mafisadi MWISHO WAO NI MBAYA!!!!!!!!!