Magufuli kwa utendaji wake akiwa WM atamfunika Jk so he will neither be a PM nor a minister
=====Gharama za kuhudumia waziri mkuu msataafu ni kubwa sana atakuwa rais wakwanza kutuingiza katika gharama hizo kwa kipindi kifupi sana cha miaka minne........
Kuna jitihada kubwa na fedha nyingi zinatumika ili EL awe PM 2010-15. Wazee wa CCM wakiwepo marais wastaafu wanafanya kila namna kumshawishi JK amteue EL kushika wadhifa huo kwa mara nyingine tena kwa kuzingatia kuwa "amejisafisha" kwa kashfa zilizomng'oa kwenye wadhifa huo. It's just the matter of time, let's wait and see.
Habari ndiyo hiyo:sad: