Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana jf, kuna tetesi kuwa mbunge wa muleba prof. Anna tibaijuka huenda akateuliwa kuwa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania badala ya mh. Pinda ambaye kikatiba amekosa sifa za kuwa waziri mkuu kwa kuwa siyo mbunge wa kuchaguliwa katika jimbo kama katiba inavyoagiza. Mwenye taarifa zaidi na hili atujuze.
Wana jf, kuna tetesi kuwa mbunge wa muleba prof. Anna tibaijuka huenda akateuliwa kuwa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania badala ya mh. Pinda ambaye kikatiba amekosa sifa za kuwa waziri mkuu kwa kuwa siyo mbunge wa kuchaguliwa katika jimbo kama katiba inavyoagiza. Mwenye taarifa zaidi na hili atujuze.
Katiba ya nchi gani hiyo, yeye ni kwamba kapita bila kupingwa, hivyo hata wangepiga kura angeshindana na kivuli. Labda kama unamaanisha mbunge wa kuteuliwa kama viki Kamata. Huyu Pinda na Tibaijuka ni wabunge tena wanaostahili kuuchaguliwa maana hata wapinzani inawezekana wanawakubali kule majimboni mwao ndo maana wakakaaa kimya.
magufuli ni dictator kazi ya upm haiwezi angekuwa polisi angeuweza uigp hapo mahali pake kiti kingekuwa kimepewa mwenyewe