GenerationZ
Member
- Jun 23, 2024
- 6
- 4
Ndugu Wana JF habari ndiyo hiyo ni suala la muda tu lakini yule kada mtiifu wa Timu Lowasa 2015 anatajwa sana huko katika korido za Mamlaka Kumrithi Kinana ambaye juzi tulitangaziwa Umma kuwa ameamua kujiuzulu nafasi yake ya Makamu mwenyekiti Bara na Mhe Samia kuridhia kujiuzulu kwake.