Pre GE2025 Nani kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara baada ya Mzee Kinana kujiuzulu?

Pre GE2025 Nani kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara baada ya Mzee Kinana kujiuzulu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu Wana JF habari ndiyo hiyo ni suala la muda tu lakini yule kada mtiifu wa Timu Lowasa 2015 anatajwa sana huko katika korido za Mamlaka Kumrithi Kinana ambaye juzi tulitangaziwa Umma kuwa ameamua kujiuzulu nafasi yake ya Makamu mwenyekiti Bara na Mhe Samia kuridhia kujiuzulu kwake.
 
Mmmhhh…!!! Kimbisa ushawishi wake haupo kabisa, CCM itafute mtu mwenye ushawishi zaidi kipindi hiki kuelekea Uchaguzi Mkuu, 2025

Mara mia Lukuvi au Balozi Polepole kwa jinsi nionavyo
 
Hizo ndio fununu zilizoshika kasi kwa sasa kwamba kada maarufu Dkt. Kigwangalla ndiye atakayemrithi Mzee wetu Komredi Kinana aliyejiuzulu na Kustaafu moja kwa moja

Tuzidi kumwombea Mzee wa Tukutuku 😀
 
Back
Top Bottom