Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama ni 'utamaduni' au 'mila'...hii haikuwa sawa machoni pa watu kukanyaga watu tena akiwa amevaa viatu!
Hawa hata mimi nawakubali sana...Paul Christian Makonda, Humphrey Polepole, na Dr Bashiru.
Hayo majambazi uliyoyataja hayafai.
Lukuvi au Pinda atafaa kwa 4R ni mustaarabu sana.Bashiru ana kisasi na team Kikwete kwahiyo anaweza faa kutokana na uzoefu wake kuwafanya wastaafu waishi kama mashetani. Na ni mzoefu wa kutumia nguvu za dola.
Bashiru akija ni mchawi mpe mwana akulelee. Hawezi kuwa adui wa kudumu wa Samia, btw sidhani kama Bashiru anaona heri team January kumpata Rais. Hapendi vilaza, sasa kwake si bora kumalizia kuliko kuanza upya.
Bashiru hamna alitaka...Pinda ndiye atakuwa makamu mwenyekiti mpyamaana Kamundu, Kalamu na Lucas Mwashambwa wote hawa wanamtaka Pinda.
Nani hayupo?Hayupo kwenye list yako.
Andika upya.
hii ya wapi?
Mtama huko kwa mtumbuliwa enzi hizohii ya wapi?
Unatuwekea watu unaowataka wewe Kisha unataka tupige kura??Karibu tutoe maoni yetu hapa,
Nimeona maoni mbalimbali hasa kwenye groups za Whatsapp haya majina saba yametajwa mara nyingi zaidi.
Ni bora sasa iwepo Poll ili kulishindanisha Kila kundi,
Jinsi ya kupigakura,
Veka tiki kwa Mwanachama unayemwamini zaidi
Kisha shuka chini sehemu imeandikwa "Cast vote" bonyeza hapo.
Hapa muhimu ni afya ya Akili Bwashee. Siyo afya ya mwili tu.Mimi naona Sumaye Yuko na Afya njema sana
kwa nini watetezi uchwara wa haki za binadamu hawakumshataki kwa kuwadhalilisha hawa kina mama? yani unavaa viatu unawakanyaga makalio? serious ?Mtama huko kwa mtumbuliwa enzi hizo