ANT - NYONDENYONDE
Senior Member
- Jul 29, 2024
- 154
- 173
Ila CCM ndio imaamua Kila kitu kwenye nchi hiiTunataka katiba mpya hayo mengine tunawaachia maccm waamue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila CCM ndio imaamua Kila kitu kwenye nchi hiiTunataka katiba mpya hayo mengine tunawaachia maccm waamue
Prof. MwandosyaKaribu tutoe maoni yetu hapa,
Nimeona maoni mbalimbali hasa kwenye groups za Whatsapp haya majina saba yametajwa mara nyingi zaidi.
Ni bora sasa iwepo Poll ili kulishindanisha Kila kundi,
Jinsi ya kupigakura,
Veka tiki kwa Mwanachama unayemwamini zaidi
Kisha shuka chini sehemu imeandikwa "Cast vote" bonyeza hapo.
Hivi hapo ili asiwaumize inabidi awakanyage kwenye makalio right
Hii nchi inabidi iingie kwenye Guiness World Book of Records kwa vituko vya wanasiasa.Hivi hapo ili asiwaumize inabidi awakanyage kwenye makalio right
Ova
Umeambiwa hao ndio wanatajwa tajwaHuoni aibu kuiweka hiyo list
Watu washatumia huko serikalini
Wakastaaafu....leo mnataka kuwarudisha
Hivi tanzania ukiwa kiongozi no kustaafu ehh
Ova
nani kakwambia kinana ni Lt?Karibu tutoe maoni yetu hapa,
Nimeona maoni mbalimbali hasa kwenye groups za Whatsapp haya majina saba yametajwa mara nyingi zaidi.
Ni bora sasa iwepo Poll ili kulishindanisha Kila kundi,
Jinsi ya kupigakura,
Veka tiki kwa Mwanachama unayemwamini zaidi
Kisha shuka chini sehemu imeandikwa "Cast vote" bonyeza hapo.
Naunga mkono hoja...Paul Christian Makonda, Humphrey Polepole, na Dr Bashiru.
Hayo majambazi uliyoyataja hayafai.
Laana hii kukanyaga makalio ya kina mama !!!!
Tafadhali tengeneza poll inayowajumuisha hawa miambaPaul Christian Makonda, Humphrey Polepole, na Dr Bashiru.
Hayo majambazi uliyoyataja hayafai.
Umri ni tatizo hapaTafadhali tengeneza poll inayowajumuisha hawa miamba
1. Paul Christian Makonda,
2. Humphrey Polepole,
3. Dr Bashiru Ally Kakurwa
4. Anthony Mtaka
5. ...........