Pre GE2025 Nani kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara baada ya Mzee Kinana kujiuzulu?

Pre GE2025 Nani kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara baada ya Mzee Kinana kujiuzulu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwamba
IMG_20240722_170029.jpg
 
Karibu tutoe maoni yetu hapa,

Nimeona maoni mbalimbali hasa kwenye groups za Whatsapp haya majina saba yametajwa mara nyingi zaidi.

Ni bora sasa iwepo Poll ili kulishindanisha Kila kundi,

Jinsi ya kupigakura,

Veka tiki kwa Mwanachama unayemwamini zaidi

Kisha shuka chini sehemu imeandikwa "Cast vote" bonyeza hapo.
Prof. Mwandosya
 
Huoni aibu kuiweka hiyo list
Watu washatumia huko serikalini
Wakastaaafu....leo mnataka kuwarudisha
Hivi tanzania ukiwa kiongozi no kustaafu ehh

Ova
 
Karibu tutoe maoni yetu hapa,

Nimeona maoni mbalimbali hasa kwenye groups za Whatsapp haya majina saba yametajwa mara nyingi zaidi.

Ni bora sasa iwepo Poll ili kulishindanisha Kila kundi,

Jinsi ya kupigakura,

Veka tiki kwa Mwanachama unayemwamini zaidi

Kisha shuka chini sehemu imeandikwa "Cast vote" bonyeza hapo.
nani kakwambia kinana ni Lt?
 
Paul Christian Makonda, Humphrey Polepole, na Dr Bashiru.

Hayo majambazi uliyoyataja hayafai.
Tafadhali tengeneza poll inayowajumuisha hawa miamba
1. Paul Christian Makonda,
2. Humphrey Polepole,
3. Dr Bashiru Ally Kakurwa
4. Anthony Mtaka
5. ...........
 
Back
Top Bottom