- Thread starter
- #101
Impossible on earth! Sana sana ni ukuu wa wilaya basi!Ccm oyeeee
Sasa kama nafasi ilivyokuwa wazi, ndivyo hivyo jina linalosemwa sana ndani ya chama kwa sasa ni kinara wa upinzani aliyeamua kuingia chama tawala .Mch Msigwa sasa kuyatwaa madaraka haya makubwa