Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana mzalendo wa JF yule mnyakyusaMimi nabashiri Msigwa😛😛😛😛
PIA SOMA
- Breaking News: - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
mwashamba?Kijana mzalendo wa JF yule mnyakyusa
Naona kama nguvu ya kupost hapa JF imepungua vile, kaishiwa pumzi mapema sanamwashamba?
Huyu hafai kabisa, unakubuka aliwahi kusema wapigwe! Huyu ni dikiteita!Hapo nashauri awe mtu style ya Mzee Pinda kabisa, mtu asiyekuwa na mihemko, hana kabisa muingiliano wa maslahi binafsi ya utajiri na utumishi wa umma. Au Dkt Bashiru
Kweli kabisa.Siasa za bongo kuzielewa inabidi uwe bilionea kwanzq ndio utazielewa vinginevyo itakuwa kama kujaribu kumuelewa mwanamke
Hivi nafasi ya makamu inauhusiani wowte na umri wa kizee? Unaweza kuta mwenyekiti anatoa shikamoo kwa makamu.Pinda kapinda
Asha Rose MigiroMWENYEKITI asijisahau kuwa wengi wanaotaka kumuangusha sababu zao kuu ni mbili tu,JINSIA yake na UZANZIBARI wake.
Hata ukimuuliza CHEMBA Leo Kwa nini hamumtaki Mama atakwambia hivyohivyo tu.
Hawana sababu nyingine.
Kwa nafasi hii muhimu,Achaguliwe MWANAMKE tena feminist hasa.
Muhimu aweze kukosoa bila hofu.Asiwe na makundi,anayeheshimika na watu wote ndani na nje ya CCM.Mwenye haiba na mzungumzaji mzuri.
Anayeweza kujibu Hoja na msomi.
Dawa ya moto ni moto.
Mimi naenda na ANNA TIBAIJUKA.
hapa kama kuna logic hiviHuyo ana genge lake la watekaji wa awamu ya tano, anaweza kuwekwa kwa muda tu, nadhani ziara ya katavi ilikuwa na lengo la kumshawishi Pinda akubali
Ndoto za uzuzu hana mkia na itamchukua 10 years kuotesha mkia halisiCcm oyeeee
Sasa kama nafasi ilivyokuwa wazi, ndivyo hivyo jina linalosemwa sana ndani ya chama kwa sasa ni kinara wa upinzani aliyeamua kuingia chama tawala .Mch Msigwa sasa kuyatwaa madaraka haya makubwa