Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,843
- 31,057
Usiwe na haraka kiasi hicho.Hivi ni nani anafaa kuchukua nafasi ya hayati kwandikwa? Namaanisha pale wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa.
Hata kabla hawajamhifadhi kwenye nyumba yake ya milele, unataka kujua mrithi wake atakuwa nani?
Haraka haraka haina mbaraka........