Nani kuziba pengo la Elias Kwandikwa?

Nani kuziba pengo la Elias Kwandikwa?

January ni kama vile huwa anatiwa gundu, tangu aanze kubetiwa mkeka haujawahi kutiki hata mara moja....mara atagombea urais, mara atakuwa waziri... ila kote huko chali
 
Wafweee wote

Who cares about these CCM henchmen?

Mauaji na mama yao a female version of useless Magu

They will all die for fear of Democracy.....still watafuata kibao!
Wyatt ni ngumu sana kumpata mtu tunayemuhitaji, ni ngumu sana. Kwa sasa tunaweza kupata mwenye unafuu kuliko yule..
 
Wampe Joseph Kasheku Msukuma au Martin Shigella. Hii wizara haitaki mtu mwenye papala papala, ila kwa hawa watu wawili, mama atafanya kazi vizuri sana.
 
Kifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake.

Sifa za mtu kuteuliwa kushika nafasi ya Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa hupaswa kuwa zifuatazo.

1. Mtu mwenye hofu ya Mungu.

2. Mtu mwaminifu Sana kwa rais

3. Mzalendo wa ukweli

4. Mpore asiye na makeke na mdomo kasuku

5. Mwenye elimu isiyo ya kuungaunga

6. Anaeuona muungano kama Lulu ya kitaifa

7. Asiyekuwa na matabaka

8. Asiyekuwa na kibri

9. Anayejiamini kila anachofanya asiwe mwoga

10. Mwenye kuijua vema misingi ya amani ya taifa hili.

Wanaotajwa kuziba nafasi hii

1 . Shamsi Vuai Nahodha

2. January Makamba

3. Seleman Jafo

Je, wewe unadhani wanafaa?

USSR



Watatumia hii kumwamisha Mwigulu ili nafasi yake ichukuliwe na Kimei
 
Ukiitwa Mchawi utachukia? Yaani Msiba hata hauna Masaa Matatu tokea Watanzania tutangaziwe ( tutaarifiwe ) Liswahili Limoja linaacha Kusikitika na Kuomboleza Kwanza lenyewe linakimbilia Kuhoji nani atachukua nafasi yake. Shame on You..!!!
Sasa nchi haiwezi kwenda mbele bila waziri wa ulinzi......kufa kufaana izi kazi za kuajiriwa na kuteuliwa hazina urithi kabisa ukifa tu kuna watu ndio fursa kwao
 
Shame on you mwenyewe!!!!!!
Tuache kuangalia maslahi ya taifa utung'ang'anize tusubiri msiba mbona issue ya hayati magufuli mama samia hakusubiri azikwe ndo awe rais.
Mtu akishakufa taifa halijafa!!!!!! Shame on you Tena.
Be sensitive basiiii

ndugu na marafiki wake wa Karibu tupo

tunaomba utupe basi hata muda tupumue na kushukuru Mungu tafadhali

weka utu kidogo
 
Taifa hili limekumbwa na nn jamani.
Mtu hata hajatolewa kwenye majokofu hapo lugalo mnajadili nani wa kumrithi?
Nn hiki mnapenda kwenye jamii
Huu ndiyo utanzania/ utu wetu
 
Makamba na jafo hapana,hapa anatakiwa au awekwe mzanzibar tu,kuimarisha muungano
 
Wampe Joseph Kasheku Msukuma au Martin Shigella. Hii wizara haitaki mtu mwenye papala papala, ila kwa hawa watu wawili, mama atafanya kazi vizuri sana.
Duuuuuuuuuuuuu msukuma awe waziri ? Tena wa ulinzi? Looooh ....BIG NO.
 
Mtu mtulivu na asiye msukuma......wasukuma enough is enough!!!
 
Kifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake.

Sifa za mtu kuteuliwa kushika nafasi ya Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa hupaswa kuwa zifuatazo.

1. Mtu mwenye hofu ya Mungu.

2. Mtu mwaminifu Sana kwa rais

3. Mzalendo wa ukweli

4. Mpore asiye na makeke na mdomo kasuku

5. Mwenye elimu isiyo ya kuungaunga

6. Anaeuona muungano kama Lulu ya kitaifa

7. Asiyekuwa na matabaka

8. Asiyekuwa na kibri

9. Anayejiamini kila anachofanya asiwe mwoga

10. Mwenye kuijua vema misingi ya amani ya taifa hili.

Wanaotajwa kuziba nafasi hii

1 . Shamsi Vuai Nahodha

2. January Makamba

3. Seleman Jafo

Je, wewe unadhani wanafaa?

USSR
KIMEI
 
Hivi ni nani anafaa kuchukua nafasi ya hayati kwandikwa? Namaanisha pale wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa.
 
Back
Top Bottom