Nani kuziba pengo la Elias Kwandikwa?

Ukiitwa Mchawi utachukia? Yaani Msiba hata hauna Masaa Matatu tokea Watanzania tutangaziwe ( tutaarifiwe ) Liswahili Limoja linaacha Kusikitika na Kuomboleza Kwanza lenyewe linakimbilia Kuhoji nani atachukua nafasi yake. Shame on You..!!!
kama alipotutoka mtetez wa wanyonge ata awajazika mama enu akakalia kiti
 
Kwa CCM hakuna hata mmoja anayefaa kwa cheo hicho
MBOWE kinamfaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…