Wenyewe washaanza mambo ya jinsia! Sasa huo utaratibu mara nyingi huwa sipendezwi nao, watu wagombee kwa uwezo na wala si kubebwa kwa kuangalia jinsia...
Ni ujingaaa mkubwa kugawana madaraka ya nchi kwa kufuata jinsia, huku mkipinga ubaguzi wa aina yoyote, je jinsia sio ubaguzi??? kama rangi dini kabila au umri???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.