Nani malkia wa nguvu JF

Kwani mtu akifanyaje ndio anakuwa malkia wa nguvu?!
 
My Niffa mbona hamumpigii kura
Ukiona hivyo hana ushawishi kwa members

Michango yake haivutii

Hakubaliki na members

Hivyo basi usiwalazimishe watu wakipende ukipendacho wewe
 
Huyo hajafa kweli?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Yupo kimyaa sana sijamuona mwaka wa pili sasa
Yupo Mkuu.

Tumehamia porini Mkuu,Si unajua kipindi cha kiangazi hakukuwa na malisho ya kudumu kwa ajili ya mifugo?.

Akirudi mjini ataingia mtandaoni.
 
Ukiona hivyo hana ushawishi kwa members

Michango yake haivutii

Hakubaliki na members

Hivyo basi usiwalazimishe watu wakipende ukipendacho wewe
Msimfsnyie hivyo. Nitamwambia amshawishi The Bold asitishe simulizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…