Nani mchezaji bora kati ya Ajibu wa Yanga na Chama wa Simba?

ajibu wanampangaga tu fowad lakni anafanya kazi kama kiungo mda mwingi ndo maan wapo kwenye mizan.
 
Vyuraaaa! Buana wana akili za kitoto sana, eti wanafananisha fundi wa kimataifa na ajibu wa mchangani.
 
Vyuraaaa! Buana wana akili za kitoto sana, eti wanafananisha fundi wa kimataifa na ajibu wa mchangani.
tulia ww mbumbumbu hapa tunaongea mabingwa ambao mpaka sasa hatujapoteza mechi we subiri kupewa dare for mo na as vital
 
Kwani mchezaji bora hutoka kulingana na nafasi anayocheza au ubora wake ktk nafasi anayocheza?
Hizo mechi 3 tu ndio ashakua bora Africa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiweka rekodi za Chama za kumzidi Ajibu nipigwe ban ya maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…