Nani mchezaji wako bora wa Yanga (MVP) kwa msimu huu wa 2023/24

Nani mchezaji wako bora wa Yanga (MVP) kwa msimu huu wa 2023/24

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Naaaje wazee!

Kwa Sisi wadau wa soka la nyumbani uhondo wetu unafikia mwishoni.

Mpaka sasa Wananchiiiii wamesepa na kikombe Chao huku watani zao wakiendelea kujitafuta kupambania nafasi ya pili na dhidi ya wana lambalamba.

Tukirudi kwenye mada, msimu huu ni miongoni mwa misimu Bora kwa Young Africans. Timu inacheza kwa kiwango cha hali ya juu. Ni wazi kuwa wapo wachezaji wengi wanafanya vizuri ndani ya Klabu hii.

Ukipewa wasaa umchague mchezaji mmoja kupewa tuzo ya MVP kwa msimu huu utamchagua nani?

Kwangu kwa Wageni ntamchagua Azizi Ki. Kwa wazawa ntampa Mudathir Yahya.

Wewe unamchagua nani na kwanini?
 
Naaaje wazee!

Kwa Sisi wadau wa soka la nyumbani uhondo wetu unafikia mwishoni.

Mpaka sasa Wananchiiiii wamesepa na kikombe Chao huku watani zao wakiendelea kujitafuta kupambania nafasi ya pili na dhidi ya wana lambalamba.

Tukirudi kwenye mada, msimu huu ni miongoni mwa misimu Bora kwa Young Africans. Timu inacheza kwa kiwango cha hali ya juu. Ni wazi kuwa wapo wachezaji wengi wanafanya vizuri ndani ya Klabu hii.

Ukipewa wasaa umchague mchezaji mmoja kupewa tuzo ya MVP kwa msimu huu utamchagua nani?


Kwangu kwa Wageni ntamchagua Azizi Ki. Kwa wazawa ntampa Mudathir Yahya.

Wewe unamchagua nani na kwanini?
Comments reserved
 
Ki Aziz, ndie MVP wangu, ni mchezaji ameisaidia Yanga kubeba kombe la NBC magoli 18 si mchezo kutoka kwa kiungo na hakushuka kiwango ligi nzima.
 
Ki Aziz, ndie MVP wangu, ni mchezaji ameisaidia Yanga kubeba kombe la NBC magoli 18 si mchezo kutoka kwa kiungo na hakushuka kiwango ligi nzima.
Na kacheza mechi zote bila majeruhi
 
Back
Top Bottom