Nani Meneja biashara wa Harmonize?

Nani Meneja biashara wa Harmonize?

Hiyo wala hakulipua ni anamnyonya dogo kwasababu views zinalipa na hela ya dogo ambayo angepata kwenye views zinaingia kwake
Shida sio hela shida ni brand mkuu ndio maana tunasema amelipua, Harmonize angeweza kuchukua hela hata kama video imewekwa kwenye account ya huyo dogo ndio maana hata yeye wakati yupo kwenye label yake ya zamani nyimbo zake zilibaki kwake ili kumjenga awe brand ila makato ya pesa aliendelea kukatwa as usual

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki kitu nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara tangia harmonize ameanza kufanya kazi zake mwenyewe.

It seems wanaosimamia biashara zake either hawana kauli yeyote ile juu yake au hawajui wanachofanya maana amekuwa ni mtu kurashiarashia mambo na kuyafanya katika viwango vya kawaida sana.

Moja ya hayo mambo ni juzi alipoachia collabo ya msanii wake na yeye halafu akaiweka kwenye akaunti yake youtube, nikajiuliza hivi hawa wanaomsimamia Harmonize wanashindwaje kumshauri kitu kidogo kama hicho!, unamsaini msanii aliyerelease E.P yake halafu breakthrough song unajiwekea wewe mwenyewe kwenye akaunti yako !!,

Hao subrcribers na viewers wa huyo msanii wake Dogo ibra watatoka wapi?, Lazima aambukize mashabiki zake wamfuatilie msanii wake mpya ili kesho na kesho kutwa ajitengenezee Brand yake ambayo itaweza kurudisha uwekezaji uliofanyika kwake (Ibra) pamoja na faida.

Kama ataendelea kulipualipua mambo kiholelaholela namna hii basi atapata wakati mgumu sana kuendeleza hiyo label yake mpya achilia mbali kujiendeleza yeye mwenyewe.
Hao managers wake ni muda wa kuprove kuwa sio mameneja jina, kama wanaona konde boy hasikii au hashauriki ni kheri kujitoa wamuache mwenyewe afe kifo cha kisanii cha asili.

Daah mi huyu napita kama nimeona mjusi baada ya kuweka hio minywele anaonekana kituko yeye sio handsome halafu kaweka style ya nywele mbovu isiofanana nae, kiukweli kuubrand muonekano wa kizombi yataka moyo
 
Ni bora kafanya hvyo angalau kibiashara itamlipa japo account ya dogo itabaki chini.
maana ukiangalia kwa yy tu viewers wa kusuasua vp akaiweka kwa Dogo..? Si ndo ataambulia viewers laki
 
Sasa kama ataendelea kuupload video za dogo,dogo huko youtube atakuwa anajibrand vipi,ila huwezi kujua labda waliangalia harmonize ana fanbase kubwa kwahiyo video itaangaliwa na watu wengi
Shida sio hela shida ni brand mkuu ndio maana tunasema amelipua, Harmonize angeweza kuchukua hela hata kama video imewekwa kwenye account ya huyo dogo ndio maana hata yeye wakati yupo kwenye label yake ya zamani nyimbo zake zilibaki kwake ili kumjenga awe brand ila makato ya pesa aliendelea kukatwa as usual

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama ataendelea kuupload video za dogo,dogo huko youtube atakuwa anajibrand vipi,ila huwezi kujua labda waliangalia harmonize ana fanbase kubwa kwahiyo video itaangaliwa na watu wengi
sasa lini watamtengenezea huyo dogo hiyo fanbase..

Maana ili utengezewe fanbase lazima ujengwe katika misingi mizuri ambayo itahusisha kazi bora katika account yako, kwani wakati wimbo wa Bado ft Diamond ulishindwa kuwekwa kwa Diamond? si waliiweka kwa Harmonize ambaye alikuwa na wimbo mmoja ili wamkuze awe brand iweje leo yeye na uongozi wao washindwe hesabu ndogo tu hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale mameneja biashara hawaijui kabisa wanakula hela bure za kondeboy na sara
Km itawezekana, ampe kazi Salam SK kusimamia Mzk wake na Showz. Atafika mbali sanaa..

Ila Hapa litakuja swala la uteam. Shida itaanzia hapa..

Ila Salaam Angetrain vijana kuwa mameneja, angefundisha njia za kummanage wasanii. Kina salaam wangepatikana kwengi.. ingekuwa poa sanaa
 
Hiki kitu nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara tangia harmonize ameanza kufanya kazi zake mwenyewe.

It seems wanaosimamia biashara zake either hawana kauli yeyote ile juu yake au hawajui wanachofanya maana amekuwa ni mtu kurashiarashia mambo na kuyafanya katika viwango vya kawaida sana.

Moja ya hayo mambo ni juzi alipoachia collabo ya msanii wake na yeye halafu akaiweka kwenye akaunti yake youtube, nikajiuliza hivi hawa wanaomsimamia Harmonize wanashindwaje kumshauri kitu kidogo kama hicho!, unamsaini msanii aliyerelease E.P yake halafu breakthrough song unajiwekea wewe mwenyewe kwenye akaunti yako !!,

Hao subrcribers na viewers wa huyo msanii wake Dogo ibra watatoka wapi?, Lazima aambukize mashabiki zake wamfuatilie msanii wake mpya ili kesho na kesho kutwa ajitengenezee Brand yake ambayo itaweza kurudisha uwekezaji uliofanyika kwake (Ibra) pamoja na faida.

Kama ataendelea kulipualipua mambo kiholelaholela namna hii basi atapata wakati mgumu sana kuendeleza hiyo label yake mpya achilia mbali kujiendeleza yeye mwenyewe.
Hao managers wake ni muda wa kuprove kuwa sio mameneja jina, kama wanaona konde boy hasikii au hashauriki ni kheri kujitoa wamuache mwenyewe afe kifo cha kisanii cha asili.
ukifanya mziki ndo utaelewa vizuri haya mambo.
 
Mta elewa tu
255756987561_status_095c71bbcbc04123a21a10145a2956c7.jpg


sijui itakuaje
 
Pia kwenye mkataba huwezi kujua labda nyimbo dogo atakazotoa ni mali ya konde gang
sasa lini watamtengenezea huyo dogo hiyo fanbase..

Maana ili utengezewe fanbase lazima ujengwe katika misingi mizuri ambayo itahusisha kazi bora katika account yako, kwani wakati wimbo wa Bado ft Diamond ulishindwa kuwekwa kwa Diamond? si waliiweka kwa Harmonize ambaye alikuwa na wimbo mmoja ili wamkuze awe brand iweje leo yeye na uongozi wao washindwe hesabu ndogo tu hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MI BADO NAULIZA HIVI KIBA KESHAMLIPA MAN WALTER??!AFU UKUTE NA YEYE KAFUNGA HII RAMADHANI😁😁😁
Huu uchochezi.... hapa tunazungumzia issue ya harmonize na management yake! Huyo kiba kaingiaje hapa! Huyo man maji kashalipwa kitambo tu ila kiba hatangazi kwa kuwa king apendi shoo ofu!!
 
Mkuuu unayo atleast ata pesa ya kununua barakoa ?? Ao umeshonea na nguo ya dada ??[emoji16][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom