Nani Meneja biashara wa Harmonize?

Nani Meneja biashara wa Harmonize?

Km itawezekana, ampe kazi Salam SK kusimamia Mzk wake na Showz. Atafika mbali sanaa..

Ila Hapa litakuja swala la uteam. Shida itaanzia hapa..

Ila Salaam Angetrain vijana kuwa mameneja, angefundisha njia za kummanage wasanii. Kina salaam wangepatikana kwengi.. ingekuwa poa sanaa
Mzee umeongea point kubwa Sana
 
Hiki kitu nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara tangia harmonize ameanza kufanya kazi zake mwenyewe.

It seems wanaosimamia biashara zake either hawana kauli yeyote ile juu yake au hawajui wanachofanya maana amekuwa ni mtu kurashiarashia mambo na kuyafanya katika viwango vya kawaida sana.

Moja ya hayo mambo ni juzi alipoachia collabo ya msanii wake na yeye halafu akaiweka kwenye akaunti yake youtube, nikajiuliza hivi hawa wanaomsimamia Harmonize wanashindwaje kumshauri kitu kidogo kama hicho!, unamsaini msanii aliyerelease E.P yake halafu breakthrough song unajiwekea wewe mwenyewe kwenye akaunti yako !!,

Hao subrcribers na viewers wa huyo msanii wake Dogo ibra watatoka wapi?, Lazima aambukize mashabiki zake wamfuatilie msanii wake mpya ili kesho na kesho kutwa ajitengenezee Brand yake ambayo itaweza kurudisha uwekezaji uliofanyika kwake (Ibra) pamoja na faida.

Kama ataendelea kulipualipua mambo kiholelaholela namna hii basi atapata wakati mgumu sana kuendeleza hiyo label yake mpya achilia mbali kujiendeleza yeye mwenyewe.
Hao managers wake ni muda wa kuprove kuwa sio mameneja jina, kama wanaona konde boy hasikii au hashauriki ni kheri kujitoa wamuache mwenyewe afe kifo cha kisanii cha asili.
Hapo unatakiwa utofautishe, Meneja Biashara, Meneja msimamizi, Msimamizi wa Akaunti ya You tube na Mkataba kati ya Ibra na Konde Music sio Harmonize
 
Fall in love, wife and Nakupenda malaika...nasubiria video zake kwa hamu💋💋💋💋💖💖💖💖💖💖
 
MI BADO NAULIZA HIVI KIBA KESHAMLIPA MAN WALTER??!AFU UKUTE NA YEYE KAFUNGA HII RAMADHANI[emoji16][emoji16][emoji16]
Alishamlipa mkuu akamnunulia na Ford Ranger ila akamwambia asiseme kwny medias maana Ali K hapendagi kabisa kujionyesha onyesha.
 
Huyu msanii kavunja record kuanza kuonyonywa mapema Sana Kabla hajapata hata shows
 
Km itawezekana, ampe kazi Salam SK kusimamia Mzk wake na Showz. Atafika mbali sanaa..

Ila Hapa litakuja swala la uteam. Shida itaanzia hapa..

Ila Salaam Angetrain vijana kuwa mameneja, angefundisha njia za kummanage wasanii. Kina salaam wangepatikana kwengi.. ingekuwa poa sanaa
Hasa kimataifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Km itawezekana, ampe kazi Salam SK kusimamia Mzk wake na Showz. Atafika mbali sanaa..

Ila Hapa litakuja swala la uteam. Shida itaanzia hapa..

Ila Salaam Angetrain vijana kuwa mameneja, angefundisha njia za kummanage wasanii. Kina salaam wangepatikana kwengi.. ingekuwa poa sanaa
Salam SK ana nini cha Ziada, yule ni Meneja chawa mi uwa naami mafanikio ya Diamond ni akili na nguvu yake Mwenyewe..

Salam alishindwa kwa AY na Navy Kenzo mbona hakuwafikisha popote na ni Wasanii wakubwa,.

Kuna msanii gani Amewai kumsimamia Salam akafika popote? Salam kamkuta Diamond kasimama na alikua ameshatoboa, Ni Bora ungesema Babu tale au Mkubwa Fella Maana walishawasimamia wasanii tofauti tofauti na Wakawafikisha sehemu,.

Huyo salam ni meneja chawa tu hamna lolote misifa mingi.
 
Salam SK ana nini cha Ziada, yule ni Meneja chawa mi uwa naami mafanikio ya Diamond ni akili na nguvu yake Mwenyewe..

Salam alishindwa kwa AY na Navy Kenzo mbona hakuwafikisha popote na ni Wasanii wakubwa,.

Kuna msanii gani Amewai kumsimamia Salam akafika popote? Salam kamkuta Diamond kasimama na alikua ameshatoboa, Ni Bora ungesema Babu tale au Mkubwa Fella Maana walishawasimamia wasanii tofauti tofauti na Wakawafikisha sehemu,.

Huyo salam ni meneja chawa tu hamna lolote misifa mingi.

Kumbe huwa unajitoa ufahamu tu..!!
 
Salam SK ana nini cha Ziada, yule ni Meneja chawa mi uwa naami mafanikio ya Diamond ni akili na nguvu yake Mwenyewe..

Salam alishindwa kwa AY na Navy Kenzo mbona hakuwafikisha popote na ni Wasanii wakubwa,.

Kuna msanii gani Amewai kumsimamia Salam akafika popote? Salam kamkuta Diamond kasimama na alikua ameshatoboa, Ni Bora ungesema Babu tale au Mkubwa Fella Maana walishawasimamia wasanii tofauti tofauti na Wakawafikisha sehemu,.

Huyo salam ni meneja chawa tu hamna lolote misifa mingi.
leo umejitahidi kuwa neutral...

ila labda nikuulize kama salaam ni chawa unajisi kwanini diamond amekubali awe manager wake ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
leo umejitahidi kuwa neutral...

ila labda nikuulize kama salaam ni chawa unajisi kwanini diamond amekubali awe manager wake ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu Lugha mwanzoni ilikua Inamsumbua Diamon na Tale nae Mweupe, Ndo maana ilifikia Kipindi Wakagawana Majukumu Tale akawa meneja wa ndani kitaifa na Salam wa nje Kimataifa..
 
Back
Top Bottom