Shida sio hela shida ni brand mkuu ndio maana tunasema amelipua, Harmonize angeweza kuchukua hela hata kama video imewekwa kwenye account ya huyo dogo ndio maana hata yeye wakati yupo kwenye label yake ya zamani nyimbo zake zilibaki kwake ili kumjenga awe brand ila makato ya pesa aliendelea kukatwa as usualHiyo wala hakulipua ni anamnyonya dogo kwasababu views zinalipa na hela ya dogo ambayo angepata kwenye views zinaingia kwake
hahahaha dadeki kwel kabisaHarmoni nikama chadema kila siku mnaleta ramli lakini apotei
Hiki kitu nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara tangia harmonize ameanza kufanya kazi zake mwenyewe.
It seems wanaosimamia biashara zake either hawana kauli yeyote ile juu yake au hawajui wanachofanya maana amekuwa ni mtu kurashiarashia mambo na kuyafanya katika viwango vya kawaida sana.
Moja ya hayo mambo ni juzi alipoachia collabo ya msanii wake na yeye halafu akaiweka kwenye akaunti yake youtube, nikajiuliza hivi hawa wanaomsimamia Harmonize wanashindwaje kumshauri kitu kidogo kama hicho!, unamsaini msanii aliyerelease E.P yake halafu breakthrough song unajiwekea wewe mwenyewe kwenye akaunti yako !!,
Hao subrcribers na viewers wa huyo msanii wake Dogo ibra watatoka wapi?, Lazima aambukize mashabiki zake wamfuatilie msanii wake mpya ili kesho na kesho kutwa ajitengenezee Brand yake ambayo itaweza kurudisha uwekezaji uliofanyika kwake (Ibra) pamoja na faida.
Kama ataendelea kulipualipua mambo kiholelaholela namna hii basi atapata wakati mgumu sana kuendeleza hiyo label yake mpya achilia mbali kujiendeleza yeye mwenyewe.
Hao managers wake ni muda wa kuprove kuwa sio mameneja jina, kama wanaona konde boy hasikii au hashauriki ni kheri kujitoa wamuache mwenyewe afe kifo cha kisanii cha asili.
Hahaha weMeneja wke ni mdada mmoja anajiita mjerumani,naskia alikuaga meneja wa 50 cent
Shida sio hela shida ni brand mkuu ndio maana tunasema amelipua, Harmonize angeweza kuchukua hela hata kama video imewekwa kwenye account ya huyo dogo ndio maana hata yeye wakati yupo kwenye label yake ya zamani nyimbo zake zilibaki kwake ili kumjenga awe brand ila makato ya pesa aliendelea kukatwa as usual
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa lini watamtengenezea huyo dogo hiyo fanbase..Sasa kama ataendelea kuupload video za dogo,dogo huko youtube atakuwa anajibrand vipi,ila huwezi kujua labda waliangalia harmonize ana fanbase kubwa kwahiyo video itaangaliwa na watu wengi
Km itawezekana, ampe kazi Salam SK kusimamia Mzk wake na Showz. Atafika mbali sanaa..Wale mameneja biashara hawaijui kabisa wanakula hela bure za kondeboy na sara
ukifanya mziki ndo utaelewa vizuri haya mambo.Hiki kitu nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara tangia harmonize ameanza kufanya kazi zake mwenyewe.
It seems wanaosimamia biashara zake either hawana kauli yeyote ile juu yake au hawajui wanachofanya maana amekuwa ni mtu kurashiarashia mambo na kuyafanya katika viwango vya kawaida sana.
Moja ya hayo mambo ni juzi alipoachia collabo ya msanii wake na yeye halafu akaiweka kwenye akaunti yake youtube, nikajiuliza hivi hawa wanaomsimamia Harmonize wanashindwaje kumshauri kitu kidogo kama hicho!, unamsaini msanii aliyerelease E.P yake halafu breakthrough song unajiwekea wewe mwenyewe kwenye akaunti yako !!,
Hao subrcribers na viewers wa huyo msanii wake Dogo ibra watatoka wapi?, Lazima aambukize mashabiki zake wamfuatilie msanii wake mpya ili kesho na kesho kutwa ajitengenezee Brand yake ambayo itaweza kurudisha uwekezaji uliofanyika kwake (Ibra) pamoja na faida.
Kama ataendelea kulipualipua mambo kiholelaholela namna hii basi atapata wakati mgumu sana kuendeleza hiyo label yake mpya achilia mbali kujiendeleza yeye mwenyewe.
Hao managers wake ni muda wa kuprove kuwa sio mameneja jina, kama wanaona konde boy hasikii au hashauriki ni kheri kujitoa wamuache mwenyewe afe kifo cha kisanii cha asili.
Meneja wke ni mdada mmoja anajiita mjerumani,naskia alikuaga meneja wa 50 cent
sasa lini watamtengenezea huyo dogo hiyo fanbase..
Maana ili utengezewe fanbase lazima ujengwe katika misingi mizuri ambayo itahusisha kazi bora katika account yako, kwani wakati wimbo wa Bado ft Diamond ulishindwa kuwekwa kwa Diamond? si waliiweka kwa Harmonize ambaye alikuwa na wimbo mmoja ili wamkuze awe brand iweje leo yeye na uongozi wao washindwe hesabu ndogo tu hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uchochezi.... hapa tunazungumzia issue ya harmonize na management yake! Huyo kiba kaingiaje hapa! Huyo man maji kashalipwa kitambo tu ila kiba hatangazi kwa kuwa king apendi shoo ofu!!MI BADO NAULIZA HIVI KIBA KESHAMLIPA MAN WALTER??!AFU UKUTE NA YEYE KAFUNGA HII RAMADHANI😁😁😁
50 cent au 20 percent?Meneja wke ni mdada mmoja anajiita mjerumani,naskia alikuaga meneja wa 50 cent
Hahahaha wanachafuwa tu lakini hawana jipyaHarmoni nikama chadema kila siku mnaleta ramli lakini apotei