Ndugu
Luhan _chen UKIVUTA BANGE UWAGE UNAKULA CHAKULA..
*************************************
Aaaaaaaah aaaahaaaah aaaaaha ahaaaaaaa..
Naja jirani...
Aaaaaaaah aaaahaaah aaaaaaha ahaaaaaaa...
Mimi naja...
*********
Mzee wa busara, vishawishi vimemponza mpaka kafanya busara,
Mzee wa busara ni mzee ambaye tunaishi nyumba za kupanga,
*********
Nakupendaaaaa...
Na sifa nakupa ile vibaya, kuna wapo wale wasiopenda maendeleo yako mpenzi wangu..
Nampenda mpenda NANI,
Msichana mmoja NaNI,
Mweupe kidogo NANI,
Nampenda nampendaa....
***********
Aqelina weee, tulimalize tatizo,
Ohoo hooo, aqelina mpenzi nakupenda,
************
Nipo duniani tangu august 13,(kiubishi ubishi)
Navuja jasho kimpango wangu,(Nimejifunza)
Maisha ni shida na raha, kuna starehe na karaha ,utachekwa ukizubaaa..
*************
Zali la mentari, lilitokea wakati mmi nna njaa,
Nkapendwa na demu mkali, na kuwaacha watu wote wakinishangaa katika mitaaa...
**************
Ridhiki ni popote mtu wangu zidisha piga kwata,
Na ofisi ni miguu yako ukitafta utapata,
Hatua kwa hatua,(chapa mwendo)
Wanga wakizingua,(tatu bila)
Wata ku diss mtaani wanakujua....
*************
Kamua baba kamua baba,(kamua)
Kamua baba usitumie hirizi,(kamua)
Ukijisifu na kujigamba,(kamua)
Hata mashikaji watakuona chizi..
************
Msi mpendelee m2 kwa kuwa ni legend...G nako ni mkali...yaani kama zingewepo tuzo towards best chorus,G nako angekuwa kama Messi na Ballon d'or
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..