Nani Mkali kati ya Diamond na Chris Brown?

Nani Mkali kati ya Diamond na Chris Brown?

Ni sawa na kusema Starlet glanza na Bugatti nani mkali.
 
Tmz.com juzi walitoa habari kwamba diamond platinumz ni bora zaidi ya michael jackson na elvis presley,wamefatilia live show zake wameshangazwa na sauti yake nzuri kama kasuku na wamegundua kwamba anaimba vizuri kwenye steji kuliko studio,hongera sana platinums hakuna kama wewe dunia hii
 
Tmz.com juzi walitoa habari kwamba diamond platinumz ni bora zaidi ya michael jackson na elvis presley,wamefatilia live show zake wameshangazwa na sauti yake nzuri kama kasuku na wamegundua kwamba anaimba vizuri kwenye steji kuliko studio,hongera sana platinums hakuna kama wewe dunia hii
weka hapa hiyo habari ya tmz..may be you are speaking sarcastically
 
Naomba nicheke yailah,yaan mzee wa royal umfananishe na diamond acha matusi
 
Wadau wajukwaa hili,
Recently tumeona jinsi kijana wetu Diamond anavyofanya vizuri kwenye music, hapa nyumbani na hata kimataifa.

Hebu tuseme ukweli bila Chuki...

Diamond Platinum na Chris Brown nani mkali au yuko vizuri kwenye maswala yote yakuimba na kucheza?


Mlima Kilimanjaro na Kichuguu
 
Tmz.com juzi walitoa habari kwamba diamond platinumz ni bora zaidi ya michael jackson na elvis presley,wamefatilia live show zake wameshangazwa na sauti yake nzuri kama kasuku na wamegundua kwamba anaimba vizuri kwenye steji kuliko studio,hongera sana platinums hakuna kama wewe dunia hii
Kweli we matope
 
Wadau wajukwaa hili,
Recently tumeona jinsi kijana wetu Diamond anavyofanya vizuri kwenye music, hapa nyumbani na hata kimataifa.

Hebu tuseme ukweli bila Chuki...

Diamond Platinum na Chris Brown nani mkali au yuko vizuri kwenye maswala yote yakuimba na kucheza?
Hili nalo ni jipu, tena uwasho. Litumbuliwe fasta.
 
goli la tatu alilofungwa Arsenal jana ni uzembe wa wenger mwenyewe na mabeki wake.
 
Tmz.com juzi walitoa habari kwamba diamond platinumz ni bora zaidi ya michael jackson na elvis presley,wamefatilia live show zake wameshangazwa na sauti yake nzuri kama kasuku na wamegundua kwamba anaimba vizuri kwenye steji kuliko studio,hongera sana platinums hakuna kama wewe dunia hii
Duh!we kiboko
 
Back
Top Bottom