Nani mkali kati ya Rayvanny na Harmonize?

Nani mkali kati ya Rayvanny na Harmonize?

Huwezi kumfananisha Rayvanny na vitu vya ajabu ajabu hivyo. Halafu hivi Harmonise na yule dogo mmoja wa kwenye Band ya Yamoto Band ni ndugu? Maana huo mfanano!!!!
Yule wa Una ramboooooo[emoji3] [emoji3] wote ni wa nanjilinji mkuu ndo maana
 
Acha.kumfanananisha[emoji116] [emoji116] [emoji116] na vitu vya kijinga
1473168933874.png
 
Dogo picha zake nyingi anaweka pozi za kike kike, sura, macho, midomo anaibinua kama wadada!

Nadhani anahitaji kutafuta pozi la kiume kwa ajili ya picha.
Hoja yako haina mashiko imejaa ka wivu flani , bt all in all dogo mkali yani. Huyo nanjilinji boy hamfikii hata theruthi
 
Vijana sura zao zinatatanisha sana ila ngoja niwe mvumilivu tu kidogo watafanana na boss wao sababu nae enzi hizo nilikua namuota usiku.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] we jamaaaa
 
Back
Top Bottom